Recent content by maishapopote

  1. maishapopote

    JamiiForums Tanzania Software Developer natafuta fursa ya kazi, projects au washirika wa biashara - nina mifumo 6 niliyoiendeleza

    Kwani amefanya kosa gani la ww kustahili kumwambia hivyo? Nafkiri ww ndio una shida tena kubwa!
  2. maishapopote

    JamiiForums Tanzania KERO Wachina wa Global Aluminium Ltd cha Kibaha – Zogowale wananyanyasa wafanyakazi wao

    Ila hichi kiwanda ni cha mbongo....mtanzania!
  3. maishapopote

    JamiiForums Tanzania Card B; Siwezi kumpikia mwanaume kama una njaa si uagize

    Offset alikua sahihi sema anachukiwa tu!
  4. maishapopote

    JamiiForums Tanzania Mvuto wa Ajabu: Watu, Watoto na Wanyama. Mabaya yapo pia

    Nipo hivyo hivyo Umenisema
  5. maishapopote

    JamiiForums Tanzania HOJA Ni kweli baadhi ya mali za Kambuni ya The Guardian Ltd zinapigwa mnada?

    Hv kweli Nyari na Mzee Mengi wapi na wapi? Mwizi na tajiri wapi na wapi? Hapa ndipo namlaumu sana Benjamin...na Ubabe wote ule Justine anamshinda? Siamini, na labda watoto hawamsikilizi baba yao Mdogo... Halafu Na nguzo ya Nyari (Banjoo) ishang'oa
  6. maishapopote

    JamiiForums Tanzania Miaka 20 ya JamiiForums, taja member bora wa muda wote wa jukwaa hili. "JF GOAT"

    Game theory,Jason Bourne,yoyo,Nguli,BAK na wengine wengi...!
  7. maishapopote

    JamiiForums Tanzania TBT: Waziri Aliyetumbuliwa Kisa kudaiwa kulewa Bungeni (Charles Kitwanga)

    Na pombe inakuepusha na mengi...stress,kukosa usingizi na mengineyo
  8. maishapopote

    JamiiForums Tanzania Mvua kubwa Pwani na Dar; Tujuzane hali ilivyo maeneo yetu ili tuwe na taarifa za TAHADHARI

    Goba inapiga balaa...saa Tisa hii na dakika 20 Sina cha usingizi Wala nn imeanza saa saba au sita
  9. maishapopote

    JamiiForums Tanzania Ukiona unapitia dalili hizi katika maisha, jua kuwa Mungu anakupeleka next level ya maisha yako

    Mkuu huo mwaka ndio aliingia magu...na in reality watu wengi sana walianza kufilisikia hapo na ukifilisika Kila kitu kinapotea Kuna waliweza kurudi na Kuna ambao walikata tamaa mm nikiwa mmoja wapo ila mwaka Jana nilijitafuta nikajipata nikasema MUNGU ni mkubwa na anilinde....pambana usikate...
  10. maishapopote

    JamiiForums Tanzania Mwaka 2026 JF Inatimiza Miaka 20! Tuwakumbuke Wana JF wa Zamani, Tuwaenzi, Tuwarudishe, na Wale ma GT wa Enzi Zile Waurejeshe Moto Kama Ule au ..?

    Nakumbuka Mike Mushi..Co owner wa JF Nakumbuka Game Theory..hatari sana Field Marshal Es ( R.I.P) le........ nakumbuka Dena Amsi ( ( r.i.p) Halafu Nguli B.A.K Bubu ataka kusema Na yule Mod Mkorofi...P.A.W Nimewakumbuka sana.... Nikifika May nitakua na 17 yrs hapa JF Max na Mike mbarikiwe sana
  11. maishapopote

    JamiiForums Tanzania Miaka 20 ya JamiiForums, taja member bora wa muda wote wa jukwaa hili. "JF GOAT"

    Nawazaga sana kwann watu wanatokaJF lkn nakosa jibu...nipo humu Toka 2009 ila Kuna members nahisi hawatoki ila wanabadilisha ID
  12. maishapopote

    JamiiForums Tanzania Mjue Yoabu - Jenerali Mkuu wa Mfalme Daudi, Katili na asiyeogopa chochote!

    Haina tabu mkuu nitashusha mwingine
  13. maishapopote

    JamiiForums Tanzania Mjue Yoabu - Jenerali Mkuu wa Mfalme Daudi, Katili na asiyeogopa chochote!

    Du huu Uzi una miaka nane Ningepata nafasi ningeshusha mwingine.... Cheers
  14. maishapopote

    JamiiForums Tanzania Tangu Bashe atemwe uwaziri ni kama kachanganyikiwa fulani hivi

    Kuna mshkaji alikua manager mahali aisee alivyotemwa kazi sio mchezo alichoka huku mtaani hawapawezi
  15. maishapopote

    JamiiForums Tanzania Tangu Bashe atemwe uwaziri ni kama kachanganyikiwa fulani hivi

    Hapana Hussein Ana shida kidogo...hayupo ok....
Back
Top Bottom