Mkuu huo mwaka ndio aliingia magu...na in reality watu wengi sana walianza kufilisikia hapo na ukifilisika Kila kitu kinapotea Kuna waliweza kurudi na Kuna ambao walikata tamaa mm nikiwa mmoja wapo ila mwaka Jana nilijitafuta nikajipata nikasema MUNGU ni mkubwa na anilinde....pambana usikate...
Nakumbuka Mike Mushi..Co owner wa JF
Nakumbuka Game Theory..hatari sana
Field Marshal Es ( R.I.P) le........
nakumbuka Dena Amsi ( ( r.i.p)
Halafu Nguli
B.A.K Bubu ataka kusema
Na yule Mod Mkorofi...P.A.W
Nimewakumbuka sana....
Nikifika May nitakua na 17 yrs hapa JF
Max na Mike mbarikiwe sana
Mkuu bond no tofauti kabisa na Hisa nakupa mfano hai jumanne nilinunua hisa za crdb za shilingi milioni 3 Kila kipandenkilikua elf 3 juzi jumanne na Leo jumapili Hisa za crdb zimeshuka na Kila kipande ni 2500
Bond Haina ujinga huo...haishuki na haipandi unless unapotaka kuuza unaweza kupandisha...
Yap Kuna mahesabu wanafanya lazima upate faida Kuna Wanachukua hela uliyonunua bond wanazidisha na percentage ya price halafu wanagawanya kwa 100...unapata faida nzuri tu.. kwa mfano umenunua bond za 50m na Sell price in percentage ni 115% na face value inakua 43.478m
Faida Sasa...
Ni kweli mkuu mm kama jamaa sikua na wazo Hilo kabisa na hela ilikuja ghafla sana so niliomba mahali usharudi nikaongozwa ila hela ni shetani ukicheza kidogo tu inatoweka
Kupata hela sio kazi...kazi ni kulinda hela!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.