Sasa buyobe ni mdogo sana kwangu
Mm nimejiunga hapa 2009 may
Yeye je?
Mm ni bro kabisa kila upande..msinilinganishe na yoyote...kiustaarabu nina miaka 15 hapa JF bado wiki kadhaa and mnanifananisha na vijana wenzenu!
Mkuu kuna wakati nakula konyagi yangu nawaangalia watoto wangu naishia kucheka tu...nawaambia nyie mnapata hela kirahisi sana sa hv...ila kuna vitu ukihadithiwa utaona either uwongo au movie..kuna wakati inabidi uchukue hela za watu kinamna vyovyote tu hamna jinsi!
Mzee alikua ni master kabisa...walienda walioenda na hakucheka na mtu! Ila mwishoni aliokoka kweli na trakea ikawa kanisa badala ya baa...woiso wa Wop ni kijana mdogo sana...sidhani hata kama 44 anafika...ila kwa umri wa woiso kulikua hamna namna ya namna ya kutafuta hela kipindi chao...hela...
Kikwazo kati yako na umakini ni uwezo wako wa kuact under pressure...hapa kuna time limit,Iq..Eq na mazingira....siku hz kuna technology so unaezaje kucontrol kila kitu on a limited time? Hilo gape lipo na ndio linatutofautisha sisi na ile 1%....wakati mwingine na supreme beings!
Pia mkuu na maswali mengine mawili
1.Je Nasa wana project yoyote wanafanya na DARPA
2.Je Nasa ina mahusiono gani na US space Army
3.Je Nasa ina mahusiano na Blackrock au hata Lockheed Martin?
Mkuu mm nina maswali kadhaa napenda sana unijibu
1.ni kwann nasa wana internet ya kasi kubwa namna ile na hawairelease kwa public? Yani ni yao peke yao?
2. Naomba unieleze kidogo kuhusu sayari ya T Garden
3. Zile project ambazo huwa zinafail na watu wanakufa je huwa kuna uwajibishwaji kwa team...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.