Recent content by maishapopote

  1. maishapopote

    Miaka 20 ya JamiiForums, taja member bora wa muda wote wa jukwaa hili. "JF GOAT"

    Game theory,Jason Bourne,yoyo,Nguli,BAK na wengine wengi...!
  2. maishapopote

    TBT: Waziri Aliyetumbuliwa Kisa kudaiwa kulewa Bungeni (Charles Kitwanga)

    Na pombe inakuepusha na mengi...stress,kukosa usingizi na mengineyo
  3. maishapopote

    Mvua kubwa Pwani na Dar; Tujuzane hali ilivyo maeneo yetu ili tuwe na taarifa za TAHADHARI

    Goba inapiga balaa...saa Tisa hii na dakika 20 Sina cha usingizi Wala nn imeanza saa saba au sita
  4. maishapopote

    Ukiona unapitia dalili hizi katika maisha jua kuwa Mungu anakupeleka next level ya maisha yako

    Mkuu huo mwaka ndio aliingia magu...na in reality watu wengi sana walianza kufilisikia hapo na ukifilisika Kila kitu kinapotea Kuna waliweza kurudi na Kuna ambao walikata tamaa mm nikiwa mmoja wapo ila mwaka Jana nilijitafuta nikajipata nikasema MUNGU ni mkubwa na anilinde....pambana usikate...
  5. maishapopote

    Mwaka 2026 JF Inatimiza Miaka 20! Tuwakumbuke Wana JF wa Zamani, Tuwaenzi, Tuwarudishe, na Wale ma GT wa Enzi Zile Waurejeshe Moto Kama Ule au ..?

    Nakumbuka Mike Mushi..Co owner wa JF Nakumbuka Game Theory..hatari sana Field Marshal Es ( R.I.P) le........ nakumbuka Dena Amsi ( ( r.i.p) Halafu Nguli B.A.K Bubu ataka kusema Na yule Mod Mkorofi...P.A.W Nimewakumbuka sana.... Nikifika May nitakua na 17 yrs hapa JF Max na Mike mbarikiwe sana
  6. maishapopote

    Miaka 20 ya JamiiForums, taja member bora wa muda wote wa jukwaa hili. "JF GOAT"

    Nawazaga sana kwann watu wanatokaJF lkn nakosa jibu...nipo humu Toka 2009 ila Kuna members nahisi hawatoki ila wanabadilisha ID
  7. maishapopote

    Mjue Yoabu - Jenerali Mkuu wa Mfalme Daudi, Katili na asiyeogopa chochote!

    Du huu Uzi una miaka nane Ningepata nafasi ningeshusha mwingine.... Cheers
  8. maishapopote

    Tangu Bashe atemwe uwaziri ni kama kachanganyikiwa fulani hivi

    Kuna mshkaji alikua manager mahali aisee alivyotemwa kazi sio mchezo alichoka huku mtaani hawapawezi
  9. maishapopote

    Tangu Bashe atemwe uwaziri ni kama kachanganyikiwa fulani hivi

    Hapana Hussein Ana shida kidogo...hayupo ok....
  10. maishapopote

    Msaada nina milioni 500 hapa ambayo nataka niiwekeze niwe nakula faida tu, wapi kunafaa kwa uwekezaji huu?

    Naunga mkono hii bank na mkombozi zinafanya poa ngoja nikiotea tena nawekeza huku
  11. maishapopote

    Msaada nina milioni 500 hapa ambayo nataka niiwekeze niwe nakula faida tu, wapi kunafaa kwa uwekezaji huu?

    Mkuu bond no tofauti kabisa na Hisa nakupa mfano hai jumanne nilinunua hisa za crdb za shilingi milioni 3 Kila kipandenkilikua elf 3 juzi jumanne na Leo jumapili Hisa za crdb zimeshuka na Kila kipande ni 2500 Bond Haina ujinga huo...haishuki na haipandi unless unapotaka kuuza unaweza kupandisha...
  12. maishapopote

    Msaada nina milioni 500 hapa ambayo nataka niiwekeze niwe nakula faida tu, wapi kunafaa kwa uwekezaji huu?

    Yap Kuna mahesabu wanafanya lazima upate faida Kuna Wanachukua hela uliyonunua bond wanazidisha na percentage ya price halafu wanagawanya kwa 100...unapata faida nzuri tu.. kwa mfano umenunua bond za 50m na Sell price in percentage ni 115% na face value inakua 43.478m Faida Sasa...
  13. maishapopote

    Msaada nina milioni 500 hapa ambayo nataka niiwekeze niwe nakula faida tu, wapi kunafaa kwa uwekezaji huu?

    Ni kweli mkuu mm kama jamaa sikua na wazo Hilo kabisa na hela ilikuja ghafla sana so niliomba mahali usharudi nikaongozwa ila hela ni shetani ukicheza kidogo tu inatoweka Kupata hela sio kazi...kazi ni kulinda hela!
  14. maishapopote

    JamiiForums Usiku wa manane

    03:10 ngoma imekata tokea 2:15
Back
Top Bottom