Recent content by maishapopote

  1. maishapopote

    TANZIA Mfanyabiashara Emilian Woiso afariki dunia

    Acheni utoto...unawajua hawa! 1.Marehemu dena hamsi? 2.yoyo? 3.fidel 4.game theory? 5.field marshal Es (maremu wm) 6.Mike Mushi (owner wa JF...co founder) 7.Nyani Ngabu 8.pakajimmy 9.lara na madame b 10........acheni Utoto!
  2. maishapopote

    TANZIA Mfanyabiashara Emilian Woiso afariki dunia

    Sasa buyobe ni mdogo sana kwangu Mm nimejiunga hapa 2009 may Yeye je? Mm ni bro kabisa kila upande..msinilinganishe na yoyote...kiustaarabu nina miaka 15 hapa JF bado wiki kadhaa and mnanifananisha na vijana wenzenu!
  3. maishapopote

    TANZIA Mfanyabiashara Emilian Woiso afariki dunia

    Hamna namna mkuu ni kuchukua za watu tu! Change of ownership!
  4. maishapopote

    TANZIA Mfanyabiashara Emilian Woiso afariki dunia

    Mkuu kuna wakati nakula konyagi yangu nawaangalia watoto wangu naishia kucheka tu...nawaambia nyie mnapata hela kirahisi sana sa hv...ila kuna vitu ukihadithiwa utaona either uwongo au movie..kuna wakati inabidi uchukue hela za watu kinamna vyovyote tu hamna jinsi!
  5. maishapopote

    TANZIA Mfanyabiashara Emilian Woiso afariki dunia

    Mzee alikua ni master kabisa...walienda walioenda na hakucheka na mtu! Ila mwishoni aliokoka kweli na trakea ikawa kanisa badala ya baa...woiso wa Wop ni kijana mdogo sana...sidhani hata kama 44 anafika...ila kwa umri wa woiso kulikua hamna namna ya namna ya kutafuta hela kipindi chao...hela...
  6. maishapopote

    Huwa hukuna mvurugano kwenye kuwa makini bali utafsiri wake

    Kikwazo kati yako na umakini ni uwezo wako wa kuact under pressure...hapa kuna time limit,Iq..Eq na mazingira....siku hz kuna technology so unaezaje kucontrol kila kitu on a limited time? Hilo gape lipo na ndio linatutofautisha sisi na ile 1%....wakati mwingine na supreme beings!
  7. maishapopote

    Home remedy ilivyonitibu Viral Infection!!

    Manjano ni dawa sana aisee hii naijua
  8. maishapopote

    Nimwombe Rais Samia awaondoe haraka wanajeshi wetu kule DRC Congo. Mnapigana na nchi ya EAC

    Sijui kwann Gays huwa hamjifichi...mkiliwa si siri zenu mpaka uje utuonyeshe shanga...?
  9. maishapopote

    Mfumo wa mawasiliano wa vyombo vya anga za mbali

    Yaaap hii topic muhimu sana ila imekosa wachangiaji
  10. maishapopote

    Mimi ni Mhandisi wa Mawasiliano NASA, uliza swali lolote utajibiwa

    Mkuu hujanijibu..au na mm maswqli yangu ni ya kitoto?
  11. maishapopote

    Mimi ni Mhandisi wa Mawasiliano NASA, uliza swali lolote utajibiwa

    Hili sio kweli kuna jamaa mmoja nafkiri ni mchaga ana cheo kikubwa sana Nasa na nafkiri hata ulinzi anao ngoja nitakutaftia jina
  12. maishapopote

    Mimi ni Mhandisi wa Mawasiliano NASA, uliza swali lolote utajibiwa

    Pia mkuu na maswali mengine mawili 1.Je Nasa wana project yoyote wanafanya na DARPA 2.Je Nasa ina mahusiono gani na US space Army 3.Je Nasa ina mahusiano na Blackrock au hata Lockheed Martin?
  13. maishapopote

    Mimi ni Mhandisi wa Mawasiliano NASA, uliza swali lolote utajibiwa

    Mkuu mm nina maswali kadhaa napenda sana unijibu 1.ni kwann nasa wana internet ya kasi kubwa namna ile na hawairelease kwa public? Yani ni yao peke yao? 2. Naomba unieleze kidogo kuhusu sayari ya T Garden 3. Zile project ambazo huwa zinafail na watu wanakufa je huwa kuna uwajibishwaji kwa team...
Back
Top Bottom