Kama kawaida yako mkuu unatema MADINI tupu...kongore kwako! Asante kwa moyo wako wa kiuungwana hivi,Mungu atazidi kukubariki naamini. Hii ni zaidi ya Elimu ya kawaida...Ni Mafanikio ya kudumu. Shukrani sana Mkuu.
Nijuacho si kila mtu anamudu ama anapenda kuishi na watu. Kama umejaliwa karama hiyo ya kupenda na kuishi na wageni endelea nayo kwa uaminifu na usitarajie malipo,pongezi au asante...mara nyingi malipo huwa kinyume na uliyoyafanya na akutendeae huwa haoni atendacho kuwa kina madhara japo aweza...
Nakupongeza Kwa kujitahidi kuutetea ukatoliki japo umetumia njia ya upotoshaji saana kuliko ukweli wenyewe.
Yapo mengi ila naanza na hili,kisha nitarudi tena;
1. Ndugu zangu, hadi hapa umeshagundua mafundisho ya uongo. Mbinguni hakuna hekalu. Huo ndio ukweli wa kibiblia maana mwandishi wa...
Nakupongeza Kwa kujitahidi kuutetea ukatoliki japo umetumia njia ya upotoshaji saana kuliko ukweli wenyewe.
Yapo mengi ila naanza na hili,kisha nitarudi tena;
1. Ndugu zangu, hadi hapa umeshagundua mafundisho ya uongo. Mbinguni hakuna hekalu. Huo ndio ukweli wa kibiblia maana mwandishi wa...
Hakutaweza kuwa na majibu hapo mkuu hata siku moja! Kuna kufuata mkumbo na siyo uhalisia wa Jambo.
Nakupongeza saaana kwa ufafanuzi makini na mada yenye tija mkuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.