Chimunguru umejibu vizuri, ila umejibu kama mwanaume wa kiafrika - wanawake ndiyo wana makosa. Mimi nimesema story yangu, wapo wasiosema. Kina mama wengi wametendewa haya. Sisemi hivi kuhalalisha la kwangu, la hasha, nalionea aibu sana. If only this man could leave me alone.........basi sitaki...