Recent content by mailisita one

  1. mailisita one

    Tuitakie heri na kuisifu familia ya Tundu Lissu

    Utukufu na enzi ni wa MUNGU...kuna mtu pale mitaa ya magogoni anateseka
  2. mailisita one

    Vincent Laswai wa Kibo Palace na Trust Bureau de changes yuko matatani?

    hakuna sababu yoyote ya msingi hapo zaidi ya uonevu,kujihami na kutokujiamini kwa huyu bichwa baya a.k.a jiwe. Ukiondolea mbali jeshi la polisi,tiss na baadhi ya watumishi wa umma, hakuna CCM..
  3. mailisita one

    Zitto Kabwe: Spika ameagiza Kamati za Bunge za PAC, LAAC, Bajeti na Uwekezaji kutofanya kazi na CAG, tunakwenda Mahakamani!

    Hawa wabunge wote wa CCM ni wakusomewa albadiri wachizike ili iwe fundisho...wameshatupima wa tz wakagundua kuna idadi kubwa ya wapumbavu na wajinga wanaounga mkono juhudi
  4. mailisita one

    Ya MC Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume rijali

    duuh.....wanaume wa dar nyieee....haya mambo hayaaaa
  5. mailisita one

    Dau la Taarifa za kupatikana kwa Ben Saanane!

    mimi ntatoa tsh 100000
  6. mailisita one

    Exclusive: Haya Ndiyo Matukio Makubwa Yaliyopelekea Mauaji Ya Bosi Wa Iebc Musando Huko Kenya

    Rudia upya kuisoma post Sent from my LT30p using JamiiForums mobile app
  7. mailisita one

    Exclusive: Haya Ndiyo Matukio Makubwa Yaliyopelekea Mauaji Ya Bosi Wa Iebc Musando Huko Kenya

    Sikubaliani na hoja zako mbili... eti alifanya kosa kuuhakikishia umma usalama wa kura.....akili za makinikia hizo...sheria ipi kavunja? Eti upinzani wanawezakuwa wamehusika ktk mauaji haya... Ni fikra mgando kama c ufukara wa mawazo Yaani umuue wakili wako mwenye 90% ya kukushindia kesi yako...
  8. mailisita one

    Exclusive: Haya Ndiyo Matukio Makubwa Yaliyopelekea Mauaji Ya Bosi Wa Iebc Musando Huko Kenya

    Utawala wa kifashisti... Sent from my LT30p using JamiiForums mobile app
  9. mailisita one

    Zitto Kabwe aitafsiri kauli ya Lissu kama uhayawani

    misaada ya kununulia madiwani wa CHADEMA au? Sent from my LT30p using JamiiForums mobile app
  10. mailisita one

    Zitto Kabwe aitafsiri kauli ya Lissu kama uhayawani

    Zitto unaweza kupinga kuwa serekali ina matumizi makubwa ktk kukandamiza Opposition?.. madiwani wanaonunuliwa umewahi kujua mshiko wanaokabidhiwa? Sent from my LT30p using JamiiForums mobile app
  11. mailisita one

    Escrow: Kilaini, Ngeleja, Tibaijuka, Naiko kila mtu anena lake. Wengine hawajui wamrudishie nani

    waagizeni waniletee mimi ntawasaidia kuzirudisha kunako staili Sent from my LT30p using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom