1. Simulizi za umughaka
2. Analyse
3. Insider man
Asee watu wanajua kusimulia km vile unaangalia movie. Ila umughaka na a analyse kiboko ule usimuliaj wao lazima ucheke tu 🤣🤣🤣🤣🤣
Hapo ndo tuone tofauti kati ya director wetu wa kibongo na wenzetum yaan script zinaandikwa Kwa akili sana kias kwamba unapata ham ya kutaka kujua what next. Huku kwetu uliangalia tu episode Moja unaweza kutabiri movie inaisha vp 😂😂😂
Wadau, hivi hii IMEKAAJE ...Nina google pixel, nikiweka status video mtu mwenye iphone kwake haifunguki,na hata ukimtumia video haifunguki kwake. Tupeane ujuzi
Mimi siku ya kwanza nafika arusha nikashangaa sana ile stendi ... yaan nkajua ndo stwnd ndogo ya daladala. Af vidaladala vidogo hakuna hata kosta. Jiji lenye watu wengi hv tunapanda daladala fupi vile hata ukikosa siti huwez kusimama .... kwa kweli bado ni changamoto sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.