Wabunge wa upinzani hawana jipya tena baada ya magufuli kupata nafasi ya kuiongoza nchi hii.hawana hata pa kuanza kuleta porojo zao na ukizingatia sasa ndo wamejaza wabunge kayumba kibao eti kisa wamechaguliwa na wananchi wakati hata kuwawakilisha hao wananchi wao wanashindwa wanabaki kufanya...
Yaliyomo moyoni,
Ni hakika tanzania sasa tumempata kiongozi,makini,muadilifu na asiyeyumbishwa na mtu yeyote zaid ya kufuata sheria na taratibu za nchi.naungana na mtoa mada watanzania ingawa sio wte lkn wamo wenye vijitabia kama hizo alizozitaja mtia mada hilo liko waz na ukiona mtu anabisha...
Ndiyo!kila mtu ana haki lkn sio kwa mtindo huu aloutumia mh.Membe,kwa wadhifa aliokuwa nao na alichokiongea ni wazi ana kitu ndani yke inamnyima aman kwenye utawala wa awamu ya tano.yawezekana na yeye ni fisadi.au ana kona kona aliyoifanya ktk utumishi wake.
Labda kuna shida ya ufahamu juu ya kujibu au kuchangia mambo.lkn ni vizuri wakajibu na kuchangia kwan hapo pia tunawapima uwezo walionao ktk jamii na hata kuitangaza nchi yao ugaibuni!mastaa mclale jamani uwanja u wazi.
Ni muda mzuri na wakati muhafaka wa kutunza heshima kwa mh.wasira,kila mfalme na zamazake,hakuna haja ya kuwa king'ang'anizi wakati kuna damu changa,na ukizingatia hao ndio waliowaandaa kuja kushika hatamu.sasa ya nn kuwa kama sumpilo kwenye mwili wa mtu? Namshauri mzee wetu alinde heshima...
Mcpoteze maana ya "amiri jeshi mkuu"ile ni moja ya kaz yke na haswa iliyompeleka kule.kumbukeni hapa kazi tu.usharobaro kuleee!gwanda gwanda,suti suti.
Naungana nao ktk masikitiko haya!hata mm nimestushwa sana na kauli ya aliyekuwa waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa, imeonesha wazi kwamba kumbe unaweza kuwa kiongozi tena ktk wadhifa mkubwa kama ule lkn ukakosa busara ktk mambo fulani, ni udhaifu mkubwa na unafiki wa...
Wapinzani wasiojua nn maana ya upinzani wana shida sana,yaan bado wamekariri mambo yasiyokuwa na tija,ya uchakuzi ulopita.acheni hizo mambo,watu tufanye maendeleo tujenge nchi.siasa tiliziacha october 25.
Hizo ni hofu za mfa maji.mm najiuliza je, kama membe angeweza kuwa mgombea kiti hicho urais na akapata angeongea hivo?!shida ni kwamba wana ccm wengi walijua ccm ni ileile iliyokuwa imejaa uchafu na kunuka ufisadi na rushwa kutawala.lazima sasa watanzania wajue hii ni serikali ya ccm.na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.