Wakati Kikwete akiwa rais kila mtu aliongea mpaka mtoto mdogo.
Wapo waliosema 'Eti mpaka mchanga wetu wa dhahabu unatoroshwa nchini, mara ohh tunaachiwa maandaki, mara hoo mafisadi na ufisadi umezidi nchi hii" Kila mtu ataweza kukuorodhoshea mabaya kibao yaliyotokea kwenye miaka 10 ya utawala uliopita.
Chadema kupitia kwa Mnyika walimsema vibaya sana Kikwete eti tumefika hapa tulipo kwa UDHAIFU wa Kikwete.
Haya tukapata rais kwanza wakasema waliibiwa kura japo mawakala wao walikuwepo kwenye vituo na kwenye kata ambao walisaini kuyakubali. Matokeo CCM ilipata wabunge wengi zaidi ya 170 kitu ambacho hata Rais alipatikana kwa wingi huohuo hasa kwenye majimbo hayo kilichoshinda chama.
Anyway siko huko sana, Cha ajabu baada ya Magufuli kuonyesha msuli wake wa kazi wakaanza kuona wivu na kudai wameibiwa sera? seriously uibiwe sera kwani wee nani ? kwani kuna sehemu iliyoandikwa haya ni ya CHADEMA ulimwenguni na hao chadema waliyatoa wapi?
CHADEMA walitegemea Magufuli atafanya vibaya ili waendelee kusema ...tumefikishwa hapa kwa sababu ya udhaifu wa Magufuli.... ila wapi wakakuta ni mwanaume anayesimamia sheria.
Haikutosha, wameanzisha propaganda kwamba eti Magufuli ni dikteta, ana utawala wa kiimla, mabavu ..e.t.c
Jana kwenye MWANANCHI, Mbowe kasema ...eti watu wanafukuzwa ovyo bila utaratibu makazini..real? Mbowe? acha unafiki....
Kwanza watu hawafukuzwi bila utaratibu kama ulivyofukuza madiwani wako wa chama wa Arusha kipindi kile....kama ulivyomfukuza Zitto bila hata haya... hata kumwogopa Mungu kwamba ni Zitto na Slaa ndio waliowaingizia wakina Lissu, Mnyika e.tc bungeni kipindi ambacho CHADEMA haijulikani. Acha unafiki Mbowe wewe ndiwe ulifukuza fukuza bila kufuata utaratibu refer ya zito utaelewa tuu.
Msitufanye mtaji wenu wa kisiasa tuna macho tunaona kinachofanywa na Rais unataka asifanye ili kwenye uchaguzi useme CCM hakifai tuchague CHADEMA?
Mnajaribu kueneza propaganda kwenye mitandao ya jamii ila sisi wenye akili ya kuchambua hamtuambii kitu zipo sheria ndizo zinazofuatwa. Unaposema Rais dikteta ni kwa sababu kafuata sheria? Magufuli ni mtu wa Mungu anafuata haki that's all.
Roho zenu mbaya zitatufikisha pabaya hamwoni hata vibaya kutufanya mitaji yenu.
Watu wa Libya ile dhambi waliyofanya inawatafuna mpaka. Toka wamuue kwa kumdhalilisha Rais wao hawana amani miji imegeuzwa magofu... Rais aliyewaletea maji kwenye ile nchi ya jangwa na huduma zote na hata kuwatolea mahari wale wanaotaka kuoa bado mitandao ya kijamii ilikuwa gear ya mafarakano machochezi kama haya.
Wapo watu walioshikwa vibaya na Magufuli... labda ndugu zao, baba zao, wapenzi wao wako jela au wameachishwa kazi, wale wavivu, wenye mibiashara yao isiyolipa kodi wote ROHO ZINAWAUMA. Machadema nayo ndiyo WIVU kabisa unawasumbua hawakutegemea watapata wapi ya kuongea wanaanza ku blow mazuri ya Magufuli....eti tuwaamini wabadilisha gear angani wauza chama hao kwa lipi....wakafilie mbali.
Nasi watanzania tuache unafiki, wakati ambao tulikuwa na uongozi legelege tuliongea sana; sasa tumepata jembe tunaongea... hatuna shukrani haturidhiki ...tusije kuwa kama Libya.
TUACHE UNAFIKI
Wapo waliosema 'Eti mpaka mchanga wetu wa dhahabu unatoroshwa nchini, mara ohh tunaachiwa maandaki, mara hoo mafisadi na ufisadi umezidi nchi hii" Kila mtu ataweza kukuorodhoshea mabaya kibao yaliyotokea kwenye miaka 10 ya utawala uliopita.
Chadema kupitia kwa Mnyika walimsema vibaya sana Kikwete eti tumefika hapa tulipo kwa UDHAIFU wa Kikwete.
Haya tukapata rais kwanza wakasema waliibiwa kura japo mawakala wao walikuwepo kwenye vituo na kwenye kata ambao walisaini kuyakubali. Matokeo CCM ilipata wabunge wengi zaidi ya 170 kitu ambacho hata Rais alipatikana kwa wingi huohuo hasa kwenye majimbo hayo kilichoshinda chama.
Anyway siko huko sana, Cha ajabu baada ya Magufuli kuonyesha msuli wake wa kazi wakaanza kuona wivu na kudai wameibiwa sera? seriously uibiwe sera kwani wee nani ? kwani kuna sehemu iliyoandikwa haya ni ya CHADEMA ulimwenguni na hao chadema waliyatoa wapi?
CHADEMA walitegemea Magufuli atafanya vibaya ili waendelee kusema ...tumefikishwa hapa kwa sababu ya udhaifu wa Magufuli.... ila wapi wakakuta ni mwanaume anayesimamia sheria.
Haikutosha, wameanzisha propaganda kwamba eti Magufuli ni dikteta, ana utawala wa kiimla, mabavu ..e.t.c
Jana kwenye MWANANCHI, Mbowe kasema ...eti watu wanafukuzwa ovyo bila utaratibu makazini..real? Mbowe? acha unafiki....
Kwanza watu hawafukuzwi bila utaratibu kama ulivyofukuza madiwani wako wa chama wa Arusha kipindi kile....kama ulivyomfukuza Zitto bila hata haya... hata kumwogopa Mungu kwamba ni Zitto na Slaa ndio waliowaingizia wakina Lissu, Mnyika e.tc bungeni kipindi ambacho CHADEMA haijulikani. Acha unafiki Mbowe wewe ndiwe ulifukuza fukuza bila kufuata utaratibu refer ya zito utaelewa tuu.
Msitufanye mtaji wenu wa kisiasa tuna macho tunaona kinachofanywa na Rais unataka asifanye ili kwenye uchaguzi useme CCM hakifai tuchague CHADEMA?
Mnajaribu kueneza propaganda kwenye mitandao ya jamii ila sisi wenye akili ya kuchambua hamtuambii kitu zipo sheria ndizo zinazofuatwa. Unaposema Rais dikteta ni kwa sababu kafuata sheria? Magufuli ni mtu wa Mungu anafuata haki that's all.
Roho zenu mbaya zitatufikisha pabaya hamwoni hata vibaya kutufanya mitaji yenu.
Watu wa Libya ile dhambi waliyofanya inawatafuna mpaka. Toka wamuue kwa kumdhalilisha Rais wao hawana amani miji imegeuzwa magofu... Rais aliyewaletea maji kwenye ile nchi ya jangwa na huduma zote na hata kuwatolea mahari wale wanaotaka kuoa bado mitandao ya kijamii ilikuwa gear ya mafarakano machochezi kama haya.
Wapo watu walioshikwa vibaya na Magufuli... labda ndugu zao, baba zao, wapenzi wao wako jela au wameachishwa kazi, wale wavivu, wenye mibiashara yao isiyolipa kodi wote ROHO ZINAWAUMA. Machadema nayo ndiyo WIVU kabisa unawasumbua hawakutegemea watapata wapi ya kuongea wanaanza ku blow mazuri ya Magufuli....eti tuwaamini wabadilisha gear angani wauza chama hao kwa lipi....wakafilie mbali.
Nasi watanzania tuache unafiki, wakati ambao tulikuwa na uongozi legelege tuliongea sana; sasa tumepata jembe tunaongea... hatuna shukrani haturidhiki ...tusije kuwa kama Libya.
TUACHE UNAFIKI