Sasa nimekubali, ccm ndio watakaoleta vurugu kwenye nchi hii. Huwez amin mimi binfsi nimepatwa na hasira mbaya sana juu ya jambo hil. Kama mambo ndo haya, natabili kuna watu watapondwa mawe mitaani. Watu wanaichukia ccm na bado Ccm inazidi kuchochea chuki!
Mwenzenu huyu jamaa nampongeza..! Kutoka kuwa mjanjamjanja musoma had kuwa mwenyekit wazaz taifa!! Ama kwel ccm..! Huyu bwana ni mhaya, elimu yake la saba, tunaomfaham ndio tunapata sababu na uhalali wa kukichukia chama hiki.. Na kama hawa ndio wapanga mipango wa ccm basi watanzania tumekwisha.
Mi naona hoja zako ni nzuri, kinachoniskitisha ni kwamba, mmeshachelewa..! Na ukikuta mtu anajadili mambo ambayo yalishapita, eitha mtu huyo anajuta, ameshindwa kufikia makusudio yake, anachuki na hivyo hasra zake zinaishia kwa aliyemshindwa, ana roho mbaya ambayo inampelekea kwenye tushindwe...
Huyo alikuwa anaitwa mary. Umenikumbusha, alinilamba 50 nikaenda kwa maneja hakunipa ushirikiano, alikuwa na rafik yake pale sokon musoma, na mi nilikuwa mle sokon. Nilitangaza vita jion akaileta hiyo pesa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.