Dk. Magufuli anatosha wengine wa nini?

Dk. Magufuli anatosha wengine wa nini?

Watanzania wengi tumemkubali magufuli kwa kuwa tumemchagua wenyewe,ni mtu wetu hashikamani na makundi ya mafisadi wala hajatumia fedha kuomba ridhaaa ya kuingia madarakani,ni mtu anayewajali wanyonge wote pale walipo.

napenda kuchukua nafasi hii kuwaasa watanzania wenzangu tusije tukaruhusu genge la watu wasio na dira kututalawala kwa kuwa hawana muda wa kuja madarakani ili kutunyanyua wananchi wa chini,hapa kimsingi anayetufaa ni magufuli.

naitazama tanzania itakayoongozwa na magufuli kuwa nchi ya asali na maziwa kwa kuwa uwezo anao,nia anayo,mwadilifu,ameonyesha njia kwa wizara alizosimamia.

pia anavaa viatu vya mwalimu nyerere kwa tabia yake ya kuwa mtumishi kwa kuwatumikia wananchi katika kujiletea maendeleo



Day dreamer! Usijitoe ufahamu kwa kuwa umeahidiwa pepo ungali duniani....
Magufuli hakuwahi kuwa na nafasi yoyote ya uongozi ndani ya chama cha siasa, niyo maana ameshindwa hata kumanage familia yake mwenyewe!

Amekuwa mtumishi wa serikali ya CCM kwa kipindi cha zaidi ya miaka kumi na tano sasa, anajua ukiritimba uliopo ndani ya chama chake na ndiyo maana hata yeye ameshindwa kufanya maamuzi pale alipoona inafaa kufanya..

Ni magufuli huhu huyu huyu anatakiwa kuwa chini ya mwavuli wa mwenyekiti wa chama ndgugu JK hadi mwaka 2017 ndipo akomae kupewa uenyekiti..

Ni magufuli huyu huyu mwenye maamuzi ya kukurupuka ambayo mara kadhaa yameigharimu serikali na chama chake, huku wengine tusiohusika tukibebeshwa mzigo wa kulipa fidia baada ya maamuzi yake kushindwa!

Wewe kama una mahaba naye kapige naye picha, ila sisi tulio wengi tunahitaji mbadala wa CCM, baada ya hapi tuanze moja, nao wapate nafasi ya kujifunza!
 
Magufuli anatosha kwa kuwa sifa zote za kuwa president anazo,kafanya vitu vinaonekana,mwadilifu,mzalendo,mchapa kazi,mfuatiliaji na ndiye kiongozi wetu kuelekea nchi ya asali na maziwa
 
Day dreamer! Usijitoe ufahamu kwa kuwa umeahidiwa pepo ungali duniani....
Magufuli hakuwahi kuwa na nafasi yoyote ya uongozi ndani ya chama cha siasa, niyo maana ameshindwa hata kumanage familia yake mwenyewe!

Amekuwa mtumishi wa serikali ya CCM kwa kipindi cha zaidi ya miaka kumi na tano sasa, anajua ukiritimba uliopo ndani ya chama chake na ndiyo maana hata yeye ameshindwa kufanya maamuzi pale alipoona inafaa kufanya..

Ni magufuli huhu huyu huyu anatakiwa kuwa chini ya mwavuli wa mwenyekiti wa chama ndgugu JK hadi mwaka 2017 ndipo akomae kupewa uenyekiti..

Ni magufuli huyu huyu mwenye maamuzi ya kukurupuka ambayo mara kadhaa yameigharimu serikali na chama chake, huku wengine tusiohusika tukibebeshwa mzigo wa kulipa fidia baada ya maamuzi yake kushindwa!

Wewe kama una mahaba naye kapige naye picha, ila sisi tulio wengi tunahitaji mbadala wa CCM, baada ya hapi tuanze moja, nao wapate nafasi ya kujifunza!
Endelea kupiga posho mbaba njaa inakusumbua wewe.
View attachment 290258
 
Yap namkubali Magu kwa uchapaji kazi wake, ila nayakubali zaidi Mabadiliko...
 
Wewe wasema, hapa kazi tu

Kwa mujibu wa hiyo taasisi tanzu ya CCM watu wanaoipenda ccm ni wazee (ambao nadhani hawana taarifa kwamba Nyerere alikwishafariki) na vijana wasio na elimu...ni imani yangu basi kwa uandishi wako huu unaangukia kwenye category ya pili ya kukosa elimu, endelea kuishabikia CCM!
 
Yap namkubali Magu kwa uchapaji kazi wake, ila nayakubali zaidi Mabadiliko...

Hamfrey Polepole amekuwa muungwana sana, amesema chama cha Mgufuli kimefanya mabadiliko ya kweli na wanapaswa kupongezwa. Amesisitiza tusiwe wachoyo kwa kujua hilo na kuthamini mabadiliko waliyoyafanya, hakuna mtu aliyetegemea kama Magufuli ataibuka kidedea na Kugombea nafasi ya Urais. Magufuli hoyeeeeeeeeeee! Tanzania HOYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!
 
Mnabishana na wajinga wajinga ambao hawajaenda shule ...mtoa mada ni mccm ..jinga kabisa..tunahitaji Elimu ..Elimu ..elimu
 
anatosha kwa mamaaako
lowassa n rais wako kenge ww

MCHUMIPESA, hujajishtukia kuwa wewe upo kipesa? Au umesahau kuwa wewe ni mchumipesa? Ujira uliopewa ndiyo unakutoa mapovu hivyo mpaka uanze kutukana? Kweli huna nyimbo zadi ya weupe wa mawazo. Pole endelea na huo uduwanzi na matusi yako, mtaji wako ni matusi. Acha wenye busara wafanye kazi yao wampate Rais wao wa awamu ya 5 Dkt. John Magufuli. Upende usipende, ukiona unaweweseka nenda kalale.
 
akili matope za lumumba n majanga.
haXkutoshi kenge wew

Dkt. Magufuli hoyee,TANZANIA hoyeeeeeeee, wenye wivu wajinyonge.

Ni kweli anatosha kwa Watanzania. Hapa kazi tu, hakuna cha Buguruni, Kinondoni, Masaki wala Mwananyamala. Magufuli anatosha.
 
Mchango wa Dkt. Magufuli kwa taifa ameudhihirishia Umma wa Watanzania kuwa ni kiongozi mchapa kazi kwa nafasi aliyoitumikia kama Waziri. Nafasi anayowaomba Watanzania kwa sasa ni ya Urais. Na mara zote ameendelea kusisitiza kuwa YEYE anatosha. Na kweli anatosha. Jitokeze Oktoba 25 mwaka huu umchague Magufuli awe Rais wako wa Awamu ya Tano. Tanzania Hoyeeeeeeeeeee!

Vigezo vya uchapakazi alivyonavyo Lowassa ni zaidi sana ya Magufuli, kwa hiyo tunaomba watanzania wasihadaike na rangi ya ganda la chungwa, ndani limeoza,
#MabadilikoNiLazima2015
 
Vigezo vya uchapakazi alivyonavyo Lowassa ni zaidi sana ya Magufuli, kwa hiyo tunaomba watanzania wasihadaike na rangi ya ganda la chungwa, ndani limeoza,
#MabadilikoNiLazima2015

Hahahahaha hahaaaaaaa, Prince George umesema vema, umejuaje kwamba CDM wamechukua wakidhani ni chungwa kumbe ndani limeoza? OOOOOOOOh! Poleni sana hayo ndiyo mabadiliko Dkt. Magufuli ni zaidi ya hilo chungwa mlilochagua kumbe ndani .................."rangi ya ganda la chungwa, ndani limeoza" hayo ni maneno ya Prince George.
 
Hamfrey Polepole amekuwa muungwana sana, amesema chama cha Mgufuli kimefanya mabadiliko ya kweli na wanapaswa kupongezwa. Amesisitiza tusiwe wachoyo kwa kujua hilo na kuthamini mabadiliko waliyoyafanya, hakuna mtu aliyetegemea kama Magufuli ataibuka kidedea na Kugombea nafasi ya Urais. Magufuli hoyeeeeeeeeeee! Tanzania HOYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!

Mabadilikoooooooooooooo
 
Mabadilikoooooooooooooo

Good Hamfrey Polepole, wewe ni muungwana sana, umesema chama cha Mgufuli kimefanya mabadiliko ya kweli na wanapaswa kupongezwa. Umesisitiza tusiwe wachoyo kwa kujua hilo na kuthamini mabadiliko waliyoyafanya. Hakuna mtu aliyetegemea kama Magufuli ataibuka kidedea na Kugombea nafasi ya Urais. Magufuli hoyee! Tanzania HOYEEE! Haemoglobin, ungana na Dkt. Magufuli ili Tanzania iendelee kuwa kisiwa cha amani na iwe na mabadiliko ya kweli siyo ya mdomoni.
 
Naomba mnijulishe undani wa magufuli kuhusu katiba mpya, na kwa kweli kama asipoongelea hil kura yangu ataisikia tu.
 
Back
Top Bottom