Recent content by mahaza

  1. mahaza

    Vurugu Bugando: Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa inadaiwa kakamatwa na Polisi

    sasa polis wanataka kuutorosha mwil wamarehem ili iweje yani kwafaida ipi kama nipostimotamu siitafanyika tuu
  2. mahaza

    Vurugu Bugando: Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa inadaiwa kakamatwa na Polisi

    achane kutafuta vita chamsingi nikuomba serikal iwatafute waliohusika but nakumbusha kuna watu wajinga sana akiuawa waupande mwingine mnasema kumbuka mwanza mwaka juz aliuwawa mwekiti wamkoa ndugu mabina watu wakashangilia nakusema ccm watu wameichoka leo imekuwa tofauti watu wengine nao...
  3. mahaza

    Kamanda Mawazo ameuawa na Mfumo wa Jeshi la Polisi - Lema

    watakuanzia wewe ohoo shauri yako
  4. mahaza

    Kamanda Mawazo ameuawa na Mfumo wa Jeshi la Polisi - Lema

    binafsi nimeumia sana nanimekuwa nikiumizwa mno na aina ya matukio ya kinyama nawapo watu viongoz wa ccm mfano mabina,katibu mwenez kahama , kule nzega wakati fulan aliuawa kiongoz wa ccm leo mkiti mkoa wa geita chadema mie natofautina kidogo nawewe kuwa polis ndo chanzo hapana bali ninyi...
  5. mahaza

    TANZIA Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo auawa kikatili mjini Katoro

    wewe nawe unachochea ccm tayar ishachukua dora na alphonce ubunge aliukosa kwa harari bukwimba akashinda usiku wa kuamkia leo ndo kulitokea hili yeye akitoka kwa kikao cha mikakati ya uchaguz wa diwan kata mojawapo katolo ambapo uchaguz uko jumapil wakati akiwa gar ili aludi katolo ndo katekwa...
  6. mahaza

    Hivi bunge la 11 ni bunge la Tanzania au Tanganyika?

    nadhan umepigia mstar maelezo yako ndo niliyoyasema hapo juu
  7. mahaza

    Hivi bunge la 11 ni bunge la Tanzania au Tanganyika?

    naona unamihemko uchaguz wa zanzibar uliofutwa haukuwahusu wabunge wa muungano wanaotoka zanzibar labda tukukumbushe zanzibar uchaguz ulisimamiwa na nec na zec nadhan nikisema nec na zec hutaniuliza tena mana najua akili yako haina maji
  8. mahaza

    HESLB watoa awamu ya tatu ya mikopo 2015/16

    wewe jinga kweli ukawa eamefanyaje ivi kuna watu wengine akili zenu zinsmaji 100%
  9. mahaza

    Dr Magufuli Baada ya kuapishwa naomba uanze HESLB

    wewe naye mburura baada ya miezi kadhaa wewe utakuwa ndo ombaomba
  10. mahaza

    Busara zangu tu: Samwel Sitta pumzika!

    mimi pia ccm damudamu lakin aina yawang'ang'aniz kama sitta hapana ametosha akizidi wampige chin tu
  11. mahaza

    Magufuli na CCM isimsahau Namelok Sokoine

    nyie waarusha niwabaguz mliendekeza siasa za kikanda mmepiga kura za kijinga mkamwacha huyu dada eti kisa ukawa hamfai kabisa
  12. mahaza

    Hongera Lowassa, Hongera UKAWA

    pole fisadi pesa zetu ulizoziiba miaka mingi mungu ametuludishia kuna watu wanamaliza uchaguz wanamitaji mikubwa na wengine wakimalizia ujenzi ,wewe naona ulitaka ushinde mabaraza na jiji moja la dar,arusha na kilimanjaro kwingine kote umeisoma namba
  13. mahaza

    Mosha wa CCM apongeza ushindi wa CHADEMA Moshi

    usihame hoja umempongeza aliyekubal matokeo ndo nikasema kwenu sawa kwa wenzenu si sawa
  14. mahaza

    Majimbo ambayo UKAWA wameshinda Ubunge lakini Magufuli ameongoza kura za Rais

    kwa hiyo kwa nasari zilitofautiana eti achane kelele za kijinga nyie
Back
Top Bottom