imewashinda ndege walioitengeneza wenyewe kuiona iweje watu?
Ila mimi kwa hapa sina coment kwa sb dunia hii ni full propaganda sioni source ya habari yenye authenticity
uamsho walichoma makanisa kuna ushahidi gani? Ni mwaka sasa waliwekwa kizuizini kutafutwa uo ushahidi wa waliyoyafanya haupo una habari kwamba kesi yao moja imefutwa kwa kukosekana ushahidi? Hii ni nchi ya propaganda ndugu kila anaetaka lake anaingiza propaganda yake afanikiwe
mataifa ya kikrito kimfumo ni nchi za kikristo na huwezi kuwa mtawala kwayo bila kuwa mkristo tena hadi dhehebu liwe ni hlo tafuta nchi km uingereza,ujerumani italia nk.uone ukweli huu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.