Recent content by maharagwe

  1. M

    Bodi ya MCC yainyima Tanzania fedha za msaada

    hata china inategemea misada jamani tusiwe sana mashabiki twende kwende kwenye uhalisia
  2. M

    Yusuf Makamba: Mokiwa muombee January aote nywele

    wacha upuuzi uo kwani mkristo ataleta nn
  3. M

    Rwanda yamkataa Balozi wa Tanzania

    wampeleke MREMA
  4. M

    Rwanda yamkataa Balozi wa Tanzania

    pale c yalioneshwa madaraja ya kuvukia na watu wanakata matofali kwa kichwa
  5. M

    New Boko Haram video emerged

    imewashinda ndege walioitengeneza wenyewe kuiona iweje watu? Ila mimi kwa hapa sina coment kwa sb dunia hii ni full propaganda sioni source ya habari yenye authenticity
  6. M

    Jeshi la Polisi lawatimua mafunzoni Wanafunzi 212 kwa kugushi vyeti

    chonde chonde msije mkakagua na wa mitaani jeshi litakosa watumishi
  7. M

    Yaliyojiri katika Mkutano wa UKAWA - Kibandamaiti, Zanzibar

    nilikuwa hapo hzo ni zenyewe
  8. M

    Mwanasayansi kutoka nchini Japan, amegundua miwani ya ajabu

    iletwe bongo iyo miwani tuwaone ccm wanafkiria nini juu ya hii nchi
  9. M

    Lukuvi: Nina Hofu na Uislaam aka "Islamophobia".

    uamsho walichoma makanisa kuna ushahidi gani? Ni mwaka sasa waliwekwa kizuizini kutafutwa uo ushahidi wa waliyoyafanya haupo una habari kwamba kesi yao moja imefutwa kwa kukosekana ushahidi? Hii ni nchi ya propaganda ndugu kila anaetaka lake anaingiza propaganda yake afanikiwe
  10. M

    Tanzania not happy with UK visa being processed in Nairobi

    ndo mana zenj nao wakataka nchi yao wafanye mambo yao kwao ni usumbufu kwenda nchi ya ng'ambo kufuata kitu
  11. M

    Rais wa Gambia atangaza nchi yake kuwa dola ya Kiislamu!

    kwani waislamu wa vatican wanakosa haki?
  12. M

    Rais wa Gambia atangaza nchi yake kuwa dola ya Kiislamu!

    mataifa ya kikrito kimfumo ni nchi za kikristo na huwezi kuwa mtawala kwayo bila kuwa mkristo tena hadi dhehebu liwe ni hlo tafuta nchi km uingereza,ujerumani italia nk.uone ukweli huu
Back
Top Bottom