umewahi kumwona wapi kipindi cha mkapa kwenye msiba wa wasanii au lipumba ulimwona wapi mkuu mawaziri wa wizara hiyo wanatosha,siyo kaka raisi wetu kaamua kushinda misibani tu sasa
lema wewe ni jembe la ukweli kungekuwa na wabunge kama kumi na tano wenye moyo kama wewe chama kingekuwa pazuri zaidi,siyo kama kina zito ndumila kuwili siyo poa.kaza buti lema hakuna kurudi nyuma
wadau naomba mawazo yenu kwa hili jambo nifanyeje mimi na mke wangu kwenye ndoa yetu tuna miaka sita na tumejaaliwa kupata mtoto mmoja wa kiume,kama ujuavyo mambo ya ndoa hamuwezi kuishi kama malaika ugomvi hutokea.ila kwa bahati mbaya siku moja kama miaka miwili tumewahi kugombana kidogo ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.