Recent content by mahadhialy

  1. mahadhialy

    Kulikoni, Makaburi mengi mapya yanachimbwa Tehran Iran

    unavyoonekana unapata shida sanaa
  2. mahadhialy

    Waziri Mkuu wa Ethiopia ataka Jumuiya ya Kimataifa isiingilie mzozo wa Tigray

    Yanii mimi napendaga maamuzi magumu kama haya
  3. mahadhialy

    Je, hii pesa niifanyie nini?

    Habari zenu wanaJf Ninapenda kumshukuru Mungu nimefanikiwa kushika mil200 baada ya kufanya biashara ndogo ndogo kwa kila siku nilikuwa naweka 650,000 sasa nimefikia mwaka. Sasa nataka hii pesa niiwekeze katika sekta ya viwanda sasa naomba msaada kiwanda gani naweza kuanzisha.
  4. mahadhialy

    Imekuaje Tundu Lissu ameumia zaidi mguu wa kulia hali ya kuwa alishambuliwa upande wa kushoto

    akufanyie nini bhana wewe zaidi ya democrasia ili uwe maskini wewe na nchi yako shabahmbuZz
  5. mahadhialy

    Imekuaje Tundu Lissu ameumia zaidi mguu wa kulia hali ya kuwa alishambuliwa upande wa kushoto

    mh mkuu hata angekaaje zisingempata kama zilivyompata je tiseme alizidi upande wa kushoto mmmhhhh bado kabisa stata ya kichwa changu inakataa kabisa
  6. mahadhialy

    Imekuaje Tundu Lissu ameumia zaidi mguu wa kulia hali ya kuwa alishambuliwa upande wa kushoto

    salam ndugu zangu leo nimekaa nikamkumbuka kaka yangu tundu lissu kuhusu ile ajari aliyoipata ya kupigwa risasi sasa katika kuangalia angalia zile picha nikaona kama lile gari limepigwa upande wa kushoto na yeye risasi zimeingia upande wa kulia sasa najiuliza imekuwa kuwaje risasi zipigwe upande...
  7. mahadhialy

    Wakenya wadai Tanzania ni jirani jeuri ni lazima idhibitiwe

    pilot huwa anapata shida sana kwenye kutua na kupaa sasa kwa mfano huu upepo wa dar rubani asipokuwa makini kwenye kutua na kupaa basijua lolote linaweza kutokea
  8. mahadhialy

    Wakenya wadai Tanzania ni jirani jeuri ni lazima idhibitiwe

    Japo kwenye swala la wawakilishi kutotua uwanja wa ndege kwa sababu ya hali baya ya hewa ni kweli tanzania sasa hivi tunahali mbaya ya hewa lakini si hali mbaya ya mawingu bali kuna upepo mkali kwa upande wa Dar es salam hivyo ndege kutua au kupaa ni ngumu kwa sababu ya hali hii ya hewa
  9. mahadhialy

    Mbeya: Polisi wanamshikilia Suzy Keneth(19) kwa mauaji ya Mwanafunzi James Magesa (21)

    Isee watu wa bara kanda ya ziwa wanaroho mbaya chafu kabisa halafu hawana busara
  10. mahadhialy

    LOCKHEED AC-130 au Sugu wa vita

    Kwani hili linauzwa bei gani maana hapa kunajirani yangu nataka kumfanyia timburo maana ananikera sana na msabufa wake
  11. mahadhialy

    Kwa muda sasa nimekuwa na idea ya kutengeneza Aircraft

    Ninataka kutengeneza kama Cessna 182R Skylene
  12. mahadhialy

    Kwa muda sasa nimekuwa na idea ya kutengeneza Aircraft

    Habari zenu wana ndugu, kwa muda sasa nimekuwa na idea ya kutengeneza Aircraft sasa hapa nimepata dola 785,000 katika biashara zangu sasa nataka nikamilishe hii idea sasa ninaomba ufafanuzi kuhusu hiproject kwa hiki kiasi naweza kuitimeza idea yangu
  13. mahadhialy

    Jeshi la Polisi lapiga marufuku maandamano ya #77Nyeupe kudai Tume Huru ya Uchaguzi

    Umeonaa huyu roho yake mbaya hana huruma kabisa nahisi hata moyo wake ni wachuma
  14. mahadhialy

    Jeshi la Polisi lapiga marufuku maandamano ya #77Nyeupe kudai Tume Huru ya Uchaguzi

    Weee mkuu unaonekana unaroho mbaya sana hujari binaadamu wenzio wewe
  15. mahadhialy

    Serikali kuja na tuzo kwa wasanii

    Tuzo hii itakuwa na utata pamoja na ugomvi pale Diamond Platnums atakapo chukua tuzo katika vipengere vyote hapo ndipo utazisika timu za Kibakuli a.k.a kibanio na yule mmakonde watakavyo lia
Back
Top Bottom