The Stress Challengerr
JF-Expert Member
- Jan 18, 2020
- 2,478
- 6,764
Inakuwaje!
Makaburi mengi mapya yanachimbwa huko Tehran. Kwanini wanaandaa makaburi mapema. Kweli sababu ni korona? Ndio style gani hii ya msiba?
Aidha wanasayansi wote wa nyuklia Iran wameamua kudanganya fani zao wengine kujitambulisha kama wahasibu, wakulima, wana historia, wanajiologia, mabwana shamba, mabwana afya, walimu kwa kuhofia kuwa target kutoka taifa teule la Mungu wa kweli.
RTI
Makaburi mengi mapya yanachimbwa huko Tehran. Kwanini wanaandaa makaburi mapema. Kweli sababu ni korona? Ndio style gani hii ya msiba?
Aidha wanasayansi wote wa nyuklia Iran wameamua kudanganya fani zao wengine kujitambulisha kama wahasibu, wakulima, wana historia, wanajiologia, mabwana shamba, mabwana afya, walimu kwa kuhofia kuwa target kutoka taifa teule la Mungu wa kweli.
RTI