LOCKHEED AC-130 au Sugu wa vita

LOCKHEED AC-130 au Sugu wa vita


Hvyo vishada vyao vitaruka dunia nzima ila vikienda UAJEMI watavinyoosha tu nahavitakaa viende
Wamarekanj hawawezi peleka ac 130 Iran kichwa kichwa. Kumbuka hii ni ndege kubwa haina kasi na pia ni less manouverable.

Hii ndege inaenda sehemu ambayo air defenses zishakuwa neutralised. Huwezi sikia hata siku moja hii ndege inasogelea sehemu yenye s300 battery(ies)
 
Wamarekanj hawawezi peleka ac 130 Iran kichwa kichwa. Kumbuka hii ni ndege kubwa haina kasi na pia ni less manouverable.

Hii ndege inaenda sehemu ambayo air defenses zishakuwa neutralised. Huwezi sikia hata siku moja hii ndege inasogelea sehemu yenye s300 battery(ies)
fact kabisa

Ukweli mchungu kama huu jogi hataki kuusikia
 
Bongo zipo

na ilitumika Comoro kuwafurusha wale waasi

Kule Congo M23 hawana hamu na vijana wa Mabeyo kwa namna hilo dege lilivyowasambaratsha
 
Ila haithubutu kwenda kufanya huo utoto ke IRAN maana yatayoipata hawatakaa wasahau.....

Ila Ahsante kwamakala
Tatizo lako hutumii akili kufikiri.
Soma utaona inaingia baada ya mifumo ya ulinzi kushushwa
 
Tatizo lako hutumii akili kufikiri.
Soma utaona inaingia baada ya mifumo ya ulinzi kushushwa
inawezekana wewe ndio hutumii akili zaidi MKUU kuna anaeweza sasa kuishusha hio mifumo ya ulinzi yapale UAJEMI ?!
 
Kwani hili linauzwa bei gani maana hapa kunajirani yangu nataka kumfanyia timburo maana ananikera sana na msabufa wake
 
Tatizo lako hutumii akili kufikiri.
Soma utaona inaingia baada ya mifumo ya ulinzi kushushwa
Huyu jamaa nahisi anatatizo yeye kang'ang'ania tu Iran hawezi kwenda haiwezi kwenda....wakati imeshaelezwa hiyo ndege haiendi mpaka mifumo ya ulinzi ibomolewe
 
Back
Top Bottom