Hiyo ndiyo tofauti ya uislam na dini nyengine.uislam hauendeshwi kwa vyomo vya habari na propaganda.qur an nzima huwezi kukuta aya inasema mwanamke atahiriwe mungu akuongoze.
Jamiiforums wakristo wana haki zaidi sisi tuvumilie tu.ila kikweli jamiiforums inabidi iitwe christian thinkers.maana mwanzo walikuwa peke yao wakawa wanatukana tu liwali na liwe jamiiforums ni christian thinkers
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.