Nauza Vitoto vya nguruwe

Nauza Vitoto vya nguruwe

Mlachake

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2009
Posts
4,453
Reaction score
4,658
Wakuu nipo DSM nataka kubadili biashara kwahiyo nataka niuze hawa wadudu kwa bei ya kutupa mwenye kuhitaji ni PM.

wahi kabl zigo haujaisha.
 
We unatoka mi nafikiria kuingia, unauza sh ngapi, ni aina gani ya nguruwe unaouza,
la kizushi, kwa nini unataka kutoka kwenye hiyo kazi mkuu?
 
We unatoka mi nafikiria kuingia, unauza sh ngapi, ni aina gani ya nguruwe unaouza,
la kizushi, kwa nini unataka kutoka kwenye hiyo kazi mkuu?

Ebu tuambie kwanini unataka kutoka maana nasika inalipa .mimi pia nataka niingie huko.
 
kuna mdau ameamua kubeba Jumla so Deal closed.

Nimamua kuoka kwa kushidwa usmamizi.

Thnks Pals
 
Back
Top Bottom