Leo nimetiza siku tano nikiwa ndani ya wilaya ya kilombero kwa ziara ya wiki moja ikiwa ni mwaliko wa mwenyekiti mwenzangu wa mkoa wa Morogoro ambaye ni mbunge wa viti maalumu mh.suzane Kiwanga.Ukiondoa mikoa yenye dhahabu kama Geita na Arusha yenye Tanzanite mkoa huu ni sawa na ile nchi ya...
Safi sana ukihitaji unpaid political strategist niko hapa.Utashinda vyema.
" Nunua mwamvuli wakati wa kiangazi kipindi cha masika bei inapanda"- Nkumbi
Mbona una give up mapema hivi? Please tuendelee nitakupeleka mdogo mdogo na lengo langu hasa ni kukubadilisha, Kama kwa mwendo huu hutabadilika itabidi nikulazimishe kwa nguvu.
Unatoka kwenye hoja unakuja kunishambulia Mimi, bado hata Hilo limekushinda. Mimi siko huko hata ukinishambukia...
MODERATOR HUJANITENDEA HAKI KWA KUWEKA MADA YANGU NDANI Y MADA NYINGINE KWA KUFANANISHA VICHWA VYA HABARI, HII INAMAANISHA( kwa lugha Rahisi)
1- kuna jambo unataka kulificha. Maana hujui nimeandika lengo langu hasa ni nini, kuna kitu nimemaanisha ambacho hakimo ktk hiyo mada uliyoniweka...
Mzee Mwanakijiji, hili nalo umeliona. Ni dogo machoni na pia ktk fikra za wanasiasa wa upinzani kwa kuwa bado wanaamini ktk Mambo makubwa tu. Ila pia ni kubwa na hatari sana kwa upinzani kuliko hata hayo mambo makubwa wanayodhania kuwa ni makubwa( hili ni kubwa zaidi) na linakua zaidi na kuenea...
Wewe ni miongoni mwa Watanzania Mashabiki, pole sana, umuhimu wa mtu sio lazima aje akuwekee pesa mfukoni AMA akununulie chakula nyumbani kwako.Hujui siasa wewe na wewe ni mfuata mkumbo tu
Unanipa mifano miepesi sana na isiyo na maana kabisa katika hoja yangu. Nime andika siku fikiria kuhusu...
Maraisi wenye akili ndogo ya namna hii hata wakiwa 2000 kwa pamoja unawashinda hata Kabla ya kuanza mpambano.
Hizi ndio sampuri zilizochukuliwa ktk kupima IQ ya Watanzania.
Na kwa aina hii ya Maraisi ni wazi kabisa kuwa Wasomi wanaohitimu vyuo vya Tanzania hawakidhi viwango vya soko la ajira...
Anza kufuatilia mada za mwanzo kabisa kipindi mchakato huu unaanza, zaidi Kama mdau alivyokueleza hapo juu, walioba aloshamaliza yote hayo hivyo fanya kutafuta nini alikisema kitakupa Majibu yote hayo na Kama kuna ziada karibu sana
Kiongozi , Kamundu, Utakubaliana na Mimi kuwa ili Taifa lipige hatua hasa kiuchumi, Democrasia ni lazima iwe ya herufi ndogo. Na hii Democrasia ya herufi ndogo ndiyo hii niliyomaanisha inahitaji' Dictator Mzalendo'
Kama ulivyochangia hapo juu kuwa Watanzania wanapenda Ushabiki ni kweli na kwa...
Kiongozi, JingalaFalsafa, naona sasa moyo wangu unaanza kuwa mweupe maana siku zote haya mambo nilikuwa nashindwa ni jinsi gani mtu unaweza ukayaweka ili watu wayaelewe nashukuru kumbe siko peke yangu ktk Mtazamo huu.
Ni kweli, hesabu za siasa zinawaelemea wanasiasa wetu, hii issue naamini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.