maguzu masese
JF-Expert Member
- Jan 22, 2013
- 283
- 139
Mzee Mwanakijiji, hili nalo umeliona. Ni dogo machoni na pia ktk fikra za wanasiasa wa upinzani kwa kuwa bado wanaamini ktk Mambo makubwa tu. Ila pia ni kubwa na hatari sana kwa upinzani kuliko hata hayo mambo makubwa wanayodhania kuwa ni makubwa( hili ni kubwa zaidi) na linakua zaidi na kuenea kila kukicha maana hakina mtu wa kulingooshea kidole
Mambo ya namna hii yapo ni mengi sana ila tuna yapuuza sana na ndio miiba inayotuchoma baadaye.
Something has to be done, huyu mama anafanya siasa.
Mambo ya namna hii yapo ni mengi sana ila tuna yapuuza sana na ndio miiba inayotuchoma baadaye.
Something has to be done, huyu mama anafanya siasa.