Recent content by Magunga

  1. M

    Kenya ranked among 'failed States' because of the Somali War...Time to reassess!

    According to failed state index, Kenya is among top 20 countries in the World, taking number 15 only 14 steps from Somalia which top the list for five consecutive years. The only countries in Africa with better rating include South Africa and Ghana, Tanzania is the only country in East Africa...
  2. M

    US choice is new World Bank chief Jim Yong Kim

    Huyu bwana umewahi kuwa mkuu wa WHO na amewezesha kutoa dawa za UKIMWI zaidi ya watu 3 million katika muda mfupi kitu ambacho kwenye miaka hiyo kilionekana hakiwezekani na kuokoa maisha ya ndugu zetu wengi tu. Alianzisha mpango wa kutibu wagonjwa wa Kifua kikuu sugu huko Peru ambao unatumika...
  3. M

    Who owns Heglig?

    Kuna documentary nzuri kuhusu corruption na ukabila south sudan itarushwa Aljazira, alhamisi 2000hrs GMT
  4. M

    Who owns Heglig?

    Tatizo kubwa ninaloliona kwenye serikali yao inasumbuliwa sana na lack of strategic vision, rampat corrumption na ukabila mkali ndani ya serikali. Kwa ujumla ujeuri wanafanya kwa watu wote tuu sijaona kama wameegemea upande fulani lakini ukiangalia kwa makini pia wamekosa father figure kama vile...
  5. M

    US choice is new World Bank chief Jim Yong Kim

    Mbali ya huyu mama kuwa mwafrika lakini alikuwa hana jipya. Huyu mama anajulikana kwa extreme neo-con views. Mtazamo wake ni ver conventional asingeweza kufanya mabadiliko yote ya msingi ambayo yangesaidia Afrika. Juzi juzi alisababisha maandamano makubwa Nigeria alivyotoa subsidies ya mafuta na...
  6. M

    Bags of US Dollars found in Mutharika’s bedroom

    Hii inatia hasara, huyu bwana alianza kwa kupambana na corruption za Muluzi, akatengeneza uchumi mzuri na baadaye kuwa dikteta, nepotist na corrupt wa kutupa. Naona the same pattern kwa maraisi wa Afrika-Uganda, Nigeria, Zambia etc. Lazima tuangalie kwa makini nini chanzo cha tabia hii...
  7. M

    South African President Zuma to marry sixth time

    Dume la mbegu!. Lakini kama unuwezo wa ku-manage wanawake wanne na nyumba ndogo kibao, hiyo inaonyesha great leadership skills. Wengine ku-manage hata huyo mmoja ni kasheshe, ndio maana hata kuendesha nchi inawashinda
  8. M

    Chama cha KANU chamvua Uhuru Kenyatta madaraka

    Kenyatta alikuwa hana interest na KANU, hii inaongeza another twist kwenye mchakato wa uraisi. Sintashangaa RAO ikishirikiana na KANU, maana hii itapunguza kasi ya Uhuru na Ruttoh
  9. M

    Who owns Heglig?

    Wadau mimi uwa nasafiri sana kwenda South Sudan na uwa shughuli zangu zinafanya ni interact sana na Government officials, kwa kweli attitude ambayo serikali yao imeanza nayo ni yakusikitisha. Ni wajeuri, hawaheshimu mikataba na makubaliano yeyote, hali hii inatisha na watu wengi wanahofu na...
  10. M

    Pride ya Tanzania katika Afrika, nini kifanyike?

    Ndugu wadau, nimekuwa nasafiri katika nchi nyingi za Afrika, nimegundua ile sifa ambayo Tanzania tulikuwanayo hasa hasa kwenye ukombozi wa Afrika na misimamo thabiti kwenye mambo ya kimataifa imepungua. Vilevile ukiongea na vijana wengi hapa Tanzania hawajui mchango wa nchi yetu katika ukombozi...
  11. M

    How Nairobi shaped future Malawi president

    Tusisahau pia mchango wa TZ katika kukomboa Uganda, Angola, Msumbiji etc, nadhani watanzania wanapidi ku-document contribution hii ili iendeleze pride tuliyokuwanayo kwa kizazi kipya
  12. M

    How Nairobi shaped future Malawi president

    Wakenya bwana wanataka kuchukua credit hata katika mambo yasiyowahusu
Back
Top Bottom