US choice is new World Bank chief Jim Yong Kim

Huyu mkorea kusini dactari wa binadamu na mambo ya fedha duh , halafu alikuwa mgumu miaka 41
ndio kapata first born thomas jim .
 
It has been revealed (BBC News refered) that Mr. Jim Yong Kim has been announced that he is the president of the world bank as a US citizen. Has the democracy been observed? are there professional reasons that lead to Obama to announce him instead of Okonjo-Iweala with much experience? was the choice based on Natinalism or professional capacity?

Or is a gift to US citizens so that they can support Obama in his coming election??

Quality
 
There was no chance ya Mwafrika kuongoza World Bank hata kama alikuwepo mgombea. World Bank inaongozwa na Mmarekani, na IMF na mtu kutoka Ulaya. It has always been like that and it will be so in future. Nilidhani kwa vile wewe ni CCM damu ungejua how these things work. lol Si ndio yale yale ya Millya kutupwa na kuwekwa William?

Huyu chief mpya nae hana experience of operating a World class business, no reference to any business accounting skills, or personnel management. But he is a scientist. I have a great respect for scientists and their work, but this is like putting an engineer in charge of heart surgery, but does the US really care?

Huyu bwana umewahi kuwa mkuu wa WHO na amewezesha kutoa dawa za UKIMWI zaidi ya watu 3 million katika muda mfupi kitu ambacho kwenye miaka hiyo kilionekana hakiwezekani na kuokoa maisha ya ndugu zetu wengi tu. Alianzisha mpango wa kutibu wagonjwa wa Kifua kikuu sugu huko Peru ambao unatumika dunia kote na ameanzisha shirika la Partner In Health (PIH) ambalo linasaidia watu duniani kote. Kudai kwamba ni Dr, kwayo hawezi kuongoza WB naona nima neocon propaganda maana wanaogopa kwamba jamaa ataleta mapinduzi ya kukomboa wanyonge, mbona Dr. Mahathir Mohamedi Surgeon ambaye alikuwa waziri mkuu wa Malasyia aliwezesha kuitoa hiyo nchi kutoka umasikini hadi nchi iliyoendelea?. Scientist wanajulikana kwakuwa makini kwenye uongozi na kuleta mabadiliko makubwa, labda ni wakati hata TZ tukatafuta scientist atuongoze tupate mabadiliko
 
ni vizuri wakae wao,
hivi kama wabongo wanaiba hata kwenye bot yetu
na wanajifanya wafu wakingali hai, unataka wakalete
aibu huko world bank.

Obama mimi nitaendelea kukutolea 'salute'.
 
mimi nakuunga mkono mkuu wangu,
hizo dawa zikija huku zinauzwa,
na wanataka wakatawale benki ya dunia,
na tutaendelea kutawaliwa milele shauri ya kutokujitambua kwetu.

Huyu bwana umewahi kuwa mkuu wa WHO na amewezesha kutoa dawa za UKIMWI zaidi ya watu 3 million katika muda mfupi kitu ambacho kwenye miaka hiyo kilionekana hakiwezekani na kuokoa maisha ya ndugu zetu wengi tu. Alianzisha mpango wa kutibu wagonjwa wa Kifua kikuu sugu huko Peru ambao unatumika dunia kote na ameanzisha shirika la Partner In Health (PIH) ambalo linasaidia watu duniani kote. Kudai kwamba ni Dr, kwayo hawezi kuongoza WB naona nima neocon propaganda maana wanaogopa kwamba jamaa ataleta mapinduzi ya kukomboa wanyonge, mbona Dr. Mahathir Mohamedi Surgeon ambaye alikuwa waziri mkuu wa Malasyia aliwezesha kuitoa hiyo nchi kutoka umasikini hadi nchi iliyoendelea?. Scientist wanajulikana kwakuwa makini kwenye uongozi na kuleta mabadiliko makubwa, labda ni wakati hata TZ tukatafuta scientist atuongoze tupate mabadiliko
 
Waafrica tunatakiwa kuimarisha benki yetu ya Africa ADB ili kuondokana na ubaguzi wa wazungu!
 
Obviously their choice will always prevail. Hata hivyo, yule mama wa kinigeria alitegemea nini? Anaonekana kama Boko Haram tu hata afanye nini!
 
lini hayo mabadiliko yatafika...?
Inategemea na nchi ambazo zinazonyanyaswa kadri zitakavyoamka na kudai haki ya kuongoza chombo kama hicho.Mfano IMF,DSK former director kabla ya kesi ya ubakaji.Alijitahidi sana kuziintegrate nchi zingine,na hakusita kusema kuwa next director atoke bara lingine nje ya Ulaya.
 
Like in any other organization, the largest shareholder has the last word as to who becomes the CEO; that is the rule in the corporate world, and we should not expect it to be otherwise for the World Bank. The US is the largest shareholder, and therefore has the right to appoint the CEO!!!

In any case, assume the Nigerian lady was appointed (which was not going to happen), what would have changed? Any company's CEO implements the company owners' agenda. Would she have come with her own policies? Much as I would like to see changes in the way these Bretton Woods institutions are run, I am not expecting miracles as long as the west still holds the lion's share.
 
Huyu bwana umewahi kuwa mkuu wa WHO na amewezesha kutoa dawa za UKIMWI zaidi ya watu 3 million katika muda mfupi kitu ambacho kwenye miaka hiyo kilionekana hakiwezekani na kuokoa maisha ya ndugu zetu wengi tu. Alianzisha mpango wa kutibu wagonjwa wa Kifua kikuu sugu huko Peru ambao unatumika dunia kote na ameanzisha shirika la Partner In Health (PIH) ambalo linasaidia watu duniani kote. Kudai kwamba ni Dr, kwayo hawezi kuongoza WB naona nima neocon propaganda maana wanaogopa kwamba jamaa ataleta mapinduzi ya kukomboa wanyonge, mbona Dr. Mahathir Mohamedi Surgeon ambaye alikuwa waziri mkuu wa Malasyia aliwezesha kuitoa hiyo nchi kutoka umasikini hadi nchi iliyoendelea?. Scientist wanajulikana kwakuwa makini kwenye uongozi na kuleta mabadiliko makubwa, labda ni wakati hata TZ tukatafuta scientist atuongoze tupate mabadiliko

Mimi sijakuelewa mkuu kwani World Bank inahusiana na kugawa dawa za waathirika au upatikaniji wa dawa za waathirika yaani ARV,kwangu mimi kama mnamsifia kwenye health related matter basi bora angeendelea kwenye cheo cha ukuu wa WHO. Maana kama huyu jamaa hana sifa zinazohusiana na masula ya uongozi katika sekta za fedha hatufai hata kidogo
 
Nililikuwa nasubiri kwa hamu kuona mabadiliko kumbe marekani wamelazimishia mtu wao kushinda. Kama inajulikana lazima mtu kutoka Marekani ashinde kuna haja gani ya kuitisha uchaguzi kama si unafiki?
Ni swa na nafasi ya U "Pope". Kuna mataifa teule, kama ambavyo haiwezekani kwa mweusi kuwa mkurugenzi wa IMF, tusidhani kama iko siku kutakuwa na "Pope" Mweusi.
 
In Geo-politics Marekan ni kama CCM kwenye Bunge la JMT. Huwezi kutarajia tofauti!!
 
Back
Top Bottom