Mie nadhani Wema ndio aliye MPA sana kick mama samia hasana suruhu katika kampeni na watu walio kuwa karibu zaidi wema no mhe Mwiguru pamoja na Mh Nape mpaka ikafikia hatua ya Wema kumponda Mhe Lisu ktk jimbo lake sioni tabu ya mwigulu na nape kumpigania Wema dhamani yake wanaijua sana
My take...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.