Wewe pia akili zako haziko sawa, kapimwa pia na tumbo inawezekana unaminyoo inayokufanya usifikiri vizuri. Nyumba kama ile haikosi panya, mchwa, mende na wadudu kadha wa kadha ambao wanaweza kutafuna nyaya, hatimaye spark zinazowezwa kusababishwa na short circuit. Mwisho wake ni kijumba kile...
Lile tambara linalofungwa kwenye mtumbwi, likajaa upepo na kuanza kusukuma mtumbwi, huitwa Tanga. Tambara hili hupandishwa mtumbwi unapotaka kuanzia safari na hushushwa wanapofika safari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu Uzi mtamu kwelikweli kwani unatufundisha enzi za maisha ya mababu zetu ambapo kiuhalisia kwa sasa haiwezekani tena kuzirudia enzi zile. Enzi hizi zimejaa magonjwa mengi ambuki safura, kuhara, minyoo, tb, ......hali ambayo inafanya wazo la mkuu la faida za kutembea peku lisiwe na mashiko kwa...
Raslimali zikiwa chache lazima mgawanyo wake uwe unfair kwa wengine. Hivyo hata mkilalamika kivipi haitasaidia kitu. Mkuu kaamua kuwajali watoto wa walala hoi kidogo nao wafaidi keki ya taifa, ubaya wake nini?. Hapa Kazi tuuu, mtaisoma sana namba nyie safari hii.
Sasa hii Kali, umesema kila aliyejaribu kutoa msaada anafariki, da unataka sasa na JF members tunaojaribu kukusaidia kimawazo pia tufariki??. Hapa humpati MTU, fariki mwenyewe.
Mkuu, wahenga walinena "Fahari wawili wapiganapo zinazoumia ni nyasi". Je, TZ yetu na nchi zinazofanana nasi nadhani ndiyo nyasi zilizotajwa na wahenga!!?.
Mkuu, Mimi sioni kosa la Mh. Nape katika hoja aliyoitoa bungeni kuhusiana na uchumi wa gas katika mikoa ya kusini na kama ilivyotafsriwa vizuri katika ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015.
Nchi kugundua hazina kubwa ya gas kama ilivyotokea hapa kwetu Tanzania ni baraka kubwa na ni utajiri...
Ujumbe safi sana huu, umejaa upako wa ki-MUNGU, tena umetolewa katika muda muafaka, nategemea walengwa wataufanyia Kazi, vinginevyo methali isemayo SIKIO LA KUFA HALISIKII DAWA, inaweza ikatimia.
Mkuu hadithi za kitoto hizo unazoandika hapa. 1.Hao wawekezaji wanaoidhulumu serikali aliwatafuta Lisu?, 2. Hiyo mikataba ya kifisadi aliiandaa na kuisaini Lisu?, 3. Hao walioshikilia bombardier aliwatafuta Lisu?, 4. Hizo kesi za barabara zilizisababisha bombardier kukamatwa Lisu anahusika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.