Kweli hili la familia lina mantic kuangaliwa, nadhani alimaanisha ukoo, ebana kwa vyovyote lazima ukoo wa Rais utakuwa mkubwa sana, Ile hulka ya mwanadamu kupenda kuishi kwa ndugu mwenye uhakika wa chakula, na wengine wa kujichomeka tu humo, sasa tabu inakuja wote hawa wanahudumiwa na Ikulu, noma!