Maisha ya watanzania ni magumu sana na hatutegemei kodi za hawa watu masikini kulikomboa taifa kodi kubwa zipo kweny madinj na bandari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kasoma harvad university TL yupo vizuri sema sisi vilaza hatuwezi mwelewa kapigania haya mambo siku nyingi kabla wengi hatujaelewa wizi uliokuwa unafanywa na hawa vibaka kongamano la wanavyuo mwaka 2009 pale maeneo ya mliman city wapinzani walitueleza sana kuhusu wizi huu wa madini lkn kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.