Je, TL angetulia angefaa kuwemo ktk timu makinikia?

Je, TL angetulia angefaa kuwemo ktk timu makinikia?

Kasoma harvad university TL yupo vizuri sema sisi vilaza hatuwezi mwelewa kapigania haya mambo siku nyingi kabla wengi hatujaelewa wizi uliokuwa unafanywa na hawa vibaka kongamano la wanavyuo mwaka 2009 pale maeneo ya mliman city wapinzani walitueleza sana kuhusu wizi huu wa madini lkn kwa sababu tumelaaniwa ndio maana hatukuelewa
Mimi nadhani ni vyema awemo kweny hilo jopo la wanasheria watakao kaa na hao wezi rais ifikie kipindi aweke siasa pembeni kwa manufaa ya inchi
 
Kasoma harvad university TL yupo vizuri sema sisi vilaza hatuwezi mwelewa kapigania haya mambo siku nyingi kabla wengi hatujaelewa wizi uliokuwa unafanywa na hawa vibaka kongamano la wanavyuo mwaka 2009 pale maeneo ya mliman city wapinzani walitueleza sana kuhusu wizi huu wa madini lkn kwa sababu tumelaaniwa ndio maana hatukuelewa
Mimi nadhani ni vyema awemo kweny hilo jopo la wanasheria watakao kaa na hao wezi rais ifikie kipindi aweke siasa pembeni kwa manufaa ya inchi

huyu Lisu anayetamani raisi ashindwe ndiye umweke kwenye kamati haiwezekani.

Lisu ni mzalendo tatizo ni siasa, maana anajua hili likifanikiwa serikali ya jpm itapata sifa kwa wananchi
na kuuweka upinzani ktkt hali mbaya kwenye uchaguzi ujao.
akae hukohuko nje aendelee kupinga.
 
wengi wenu huwa mnatimiza wajibu kipindi hiki ni kipindi cha toba kwanini umzushie mwenzio kuwa ni taahira wewe ukiitwa kilaza utapenda?Mbona unaaribu funga yako kwa siasa uchwara ni vyema kipindi hiki ukajiepusha na maneno ya kuudhi

Ikiwa unaposoma huelewi basi hata picha huoni?
 
TL anastahili kuwepo kwenye timu ya kurudisha rasimu ya warioba itakayozuiya haya matakataka yote ya makinikia kwa kutoa kinga kwa rais na kuweka misingi imara ya kusimamia rasilimai zetu.
 
Kasoma harvad university TL yupo vizuri sema sisi vilaza hatuwezi mwelewa kapigania haya mambo siku nyingi kabla wengi hatujaelewa wizi uliokuwa unafanywa na hawa vibaka kongamano la wanavyuo mwaka 2009 pale maeneo ya mliman city wapinzani walitueleza sana kuhusu wizi huu wa madini lkn kwa sababu tumelaaniwa ndio maana hatukuelewa
Mimi nadhani ni vyema awemo kweny hilo jopo la wanasheria watakao kaa na hao wezi rais ifikie kipindi aweke siasa pembeni kwa manufaa ya inchi
Kwani chenge kasoma wapi?!




Waliosoma harvad nchi hii wapo wengi sana
 
Wee vipi bana. Mtu ukihongwa 1,500,000,000 ili kutetea ujambazi unawezaje kutulia?? Waliokuhonga watakuelewaje?
 
Yote yanayofanywa wanafuata aliyosema TL na upinzani.
CCM ndiyo waliopitisha huu wizi wote na kuanzia huko nyuma wapinzani ndiyo walioibua huu wizi na kuupigia kelele.

So, hapa serikali inafuata yooote waliyoongea wapinzani.
TL akinyamaza serikali chaka
 
Ikiwa Lissu ni mtaalam, hakika Tanzania tuna safari ndefu sana ya kwenda
NI kweli TL sio mtaalamu je hao waliowataalamu kwa miaka 18++ mbona leo tunatoana macho nahayo makinilia kwa kile TL alichowaatahadharisa miaka 18 -- na kama hao ndio wataalamu bac kazi bado ....>>>>
 
NI kweli TL sio mtaalamu je hao waliowataalamu kwa miaka 18++ mbona leo tunatoana macho nahayo makinilia kwa kile TL alichowaatahadharisa miaka 18 -- na kama hao ndio wataalamu bac kazi bado ....>>>>

Wezi.
 
Ishu sio politicians swala ni uwezo maana hata huyo Prof Kabudi sasa ameingia katika siasa, swala hapa ni uwezo wa ku counter attack timu pinzani. Shauri nani aingie
Jamaa hafai. Anawaogopa sana wazungu.
 
Lakini pia kumuacha kwenye timu yetu ya wataalam hatumkomoi bali tunaikomoa taifa letu.
Najuwa alipowaita uchwara aliwakera to the maximum lakini uzalendo wake hauna shaka.
Sizani kama upo sahihi. Lisu huyu aliyejitokeza adharani akidai Tanzania itashtakiwa na kunyolewa na maji ya baridi. Uzalendo wa kina Lisu imebaki kutetea wezi tu and not otherwise.
 
Kwenye Timu ya majadiliano na kuondoa mzizi wa fitina Tundu Antipas Mughwai Lissu na yeye aingizwe humo.

Hoja tunazosikia Bungeni kuhusu kuibiwa madini akaziweke sawa mezani kufikia muafaka kwa faida ya Taifa na watanzania kwa ujimla
Ataenda kutetea wezi hatumtaki hata bure. Habaki na sheria yake hiyo ya kuwa danganya wanyaturu wenzake amabao wamechoka maisha jimboni kwake. Ni nani ameenda jimboni kwa lisu ivi karibini alafu mnasema ni mtetezi wa wanyonge. Huyu ni mwizi kama wezi wengine. Eti Accacia watatushtaki duuu.
 
Sizani kama upo sahihi. Lisu huyu aliyejitokeza adharani akidai Tanzania itashtakiwa na kunyolewa na maji ya baridi. Uzalendo wa kina Lisu imebaki kutetea wezi tu and not otherwise.
Maoni yako hakuna wa kuyakataa, lakini Lisu alipendekeza kitu cha kufanya ikiwa ni pamoja Ku review mikataba na kubadili sheria zetu za madini. Na bila ya hivyo kuna uwezekano wa kushtakiwa, na hatutakuwa na LA kufanya kwa sababu tuliwapa ki sheria zilizopo ambazo ni mbovu.
 
Bi mkubwa huyo jamaa angekuwa tahira kama unavyodai asingefungwa na utawala wa Mkapa kwa kinachowasumbua leo.
Laiti wangelimuelewa tusingekuwa na matatizo haya leo.

Tatizo la nchi hii ni kumfanya Rais kuwa mungumtu asiyekosolewa na ndicho kilichotufikisha hapa leo, Awamu ya tatu wangemsikiliza huyo unaemwita taahira wala tusingehangaika.

Huyu anatapika na kula matapishi yake hafai kabisa kuingia kwenye jopo ya wataalamu itakayoundwa.

Kwanni anakula matapishi yake, kipindi cha nyuma alikuwa akihubiri tunavyoibiwa madini yetu juzi baada ya kuona tinga tinga kupiga stop michanga ya dhahabu.

Ametoka hadharani kuanza kubweka kama mbwa na kuanza kuwatetea wezi. Cheki na hii kauli yake
 
Taahira unamuwekaje katikati ya wenye akili, mropokaji hakawii kutoa siri za Ngome ili apate kiki, Lissu ni kumvunjilia mbali miguu na mikono
 
Back
Top Bottom