Changamoto za baazi ya wachangiaji huwa ni Padua kichwa lakini hii isifanye mwingine kushindwa kufikia pale anataka Mimi niseme iliyokweli watz tumejaaliwa utapeli na hii ndiyo inapelekea hadi tunaigiza kwenye maisha yetu
Maisha ambayo inatakiwa tuishi kwa uhalisia wetu sisi tunayaigiza hapa...
Sidhani kama wapo ambao wametokana humu na wameweza kuwa katika na kama wapo Mimi niwape kongole nyingi sana
Mara nyingi humu watafutaji wanatafuta elimu sio wenza kwa ajili ya maisha kama wanavyojinadi
Mara zote humu mtafutaji pia anakuwa hayupo tayari kwa kina zaidi mtu anatumia muda wake kuandika kitu lakini huwa anafanya utani was kujaribu kweli nitapata?
Unapo PM wala hana muda zaidi ya kuangalia wangapi same pm kwake huwa anafaja juu mzaha wake
Pole sana Salama Jay
na changamoto za baazi ya wachangiaji wachache zisikufanye ukakata tamaa juu ya matarajio yako kumbuka kila muomba mungu hakosi akiombacho mimi nina imani kuwa muda ndiyo huu sasa umewadia wewe kupata mwenza
Habari zenu wanajamiiforum
Mimi nikijana wa miaka 30 naishi Dar maisha yangu ya wastani sio ya juu sana na wala sio ya chini pia elimu yangu ni ya kawaida tu
Shida iliyoniweka hapa mtandaoni ni mahusiano nahitaji mchumba na hatimae aje kuwa mke wangu wa ndoa
SIFA ZA...
Muonekano wako we humtaki huyo mume bali unaihitaji kazi yake zikowapi zile %50 kwa 50 nawe tafuta kazi kwanza kisha ndiyo huyo mume ni kitu gani kimekupeelekea usitafute kazi kwanza ? Kumbuka hata hao wanaume wa sasa wanataka mke mwenye kujishughulisha hamtaki mwanamke golikipa kama wewe kwa...
Habari za muda huu mimi ni kijana nilikuwa na uhusiano na msichana mmoja na tuliweza kupata mtoto mmoja wa kiume hakika ya mapenzi yetu yalikuwa mazuri lakini na mapungufu ya kibinadamu yalikuwepo tatizo la huyo msichana lilopelekea tutengane ni roho ya uchoyo alikuwa hapendi ndugu zangu...
Wachache wenye uwelewa kwani mlio wengi dunia imewashika kila wakati na saa za karibu yenu mnawaza upuuzi tu imeweka hapo mpate kumtambua mleta mada sio kwa jina tu bali kwa sura pia sasa nyie mwajadili picha badala ya mada husika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.