Nisaidieni hili

Nisaidieni hili

nione balance sheet...........kwanza.......

Hahah...ukishafunga mahesabu basi hakikisha tule tuchenji unafanya mpango wa kututuma kwa mzee mzima walau akafanyiwe hata pedikyua...btw unajua hapo ndio kasmaili??
 
Kwani hujaona jibu langu pale juu...

Btw: Hivi unajua kitendo tu cha kuianika hiyo fesibuku yako umesababisha watoto wote kulikimbia jukwaa....usiniulize kwa nini, ni kwamba fesibuku kama hiyo hutumika kutishia watoto wasiopenda kulala..

Ulijuaje ?
 
Back
Top Bottom