Acheni uzoefu uchukue nafasi ukipewa urais na uwenyekiti wa chama unapewa mbona ni kawaida tuu au ni huo mwendo kasi unawatisha wala msiwe na wasiwasi mtauweza tuu.
Kigezo muhimu iwe uwezo alionao mtu na wala siyo dini ya mtu tuzingatie hilo maendeleo yatakayoletwa na viongozi walioteuliwa ni kwa ajili ya watu wote bila kubaguliwa kwa dini zao.
Huo ni ubaguzi kutaka kuwabagua watanzania kwa misingi ya bara na visiwani kwa taarifa hakuna kuvunja muungano kilichofanyika uwingereza ni kujiondoa katika jumuia ya ulaya kama vile jumuia ya afrika mashariki,jaribu kuelewa mambo ndg yangu na toa mifano ya kufanana.
Kama unaona alichofanya Mbowe kufungua kesi mwanza ni makosa nenda kapinge mahakamani mahakama iamue kama ana haki ya kufanya hivyo au la kupinga kwa maandamano
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.