Chuo cha TANESCO Morogoro Nacho Kitarudishwa Serikalini?

Chuo cha TANESCO Morogoro Nacho Kitarudishwa Serikalini?

Umesema zitarudishwa mali za waislam na wakristo hapo mali za serikali zinaingiaje?? au kwako wewe mali za serikali ni mali za wakristo?? Acha mhemko!!

Zinaingia kama unavyoona mjadala ulivyoanza na unavyoenda!
 
Huu Uzi ukiufuatilia ndio utagundua chuki za wafuasi wa dini Fulani...
 
Hapa ninafikiri Mkuu anataka kuibua mgogoro tu, ndiyo maana kila wakati watu makini wanajiuliza hivi Mkuu anashauriwa na nani hasa mbona mambo mengi yanaonekana yanafanyika substandard sana, ila kwa vile watu wengi kila jambo wanalitazama ki CCM vs UKAWA yetu macho!
 
Back
Top Bottom