Kwa mujibu wa takwimu za prof mosha alizo taja mkinga leo ktk startv ni kwamba serikali ya mapinduzi zanzibara imechangia miaka 3 tu gharama za kuendesha muungano kwa kipindi chote cha miaka 50 ya muungano,huku gharama zote za kuendesha muungano zikitoka tanganyika,kwa ufahamu wangu wa zenji...
Wanajamvi leo chadema wanapiga mkutano wa hadhara wa kujenga chama katika kijiji cha mikwamba kata ya magila wilayani muheza,mgeni rasmi katibu wa mkoa pamoja na makamanda mbali mbali,hivyo vyote mwakaribishwa taarifa hizi zimetolewa na katibu wa chadema muheza ndugu lukindo mohamed,kwakua nipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.