Ilitakiwa process zote za gesi zifanyike mtwara kuvutia wageni kibiashara na kutengeneza ajira kwa watanzania kwani hata ikizalishwa mtwara mafisadi bado mtakuepo tu! Sasa kwa nini muipeleke Dar? Mnasogeza mrija karibu, halafu kwanini kila kitu Dar hamtaki na miji mingine ikue? Uonevu tu...
Simpendi kabisa huyu Obuma pamoja na Serikali yake, wanyanganyi tu na anakuja kupora rasilimali zetu hamna jipya. Tatizo viongozi waliopo katika Serikali ya Tz ni bora viongozi lakini si viongozi bora yaani I hate this government!!!
Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
We are looking together with the same solution. Tunahitaji watu wanaoweza kufikiri kama wewe, sio jitu linakurupuka tu halafu linaropoka ropoka tu! Police waue! Wakiua nasisi hatutokaa kimya lazima ufahamu hilo.
Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
Hawa viongozi wa Tanzania wanawekana tu madarakani kwani hamna kitu kichwani, najiuliza kwahii kauli yake je raia wakisema na wao walipize wanaposhambuliwa na polisi ni nani wa kulaumiwa? Think before you talk!
Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
Tanzania kila kitu fake, naamini hata jeshi letu halina uelewa wowote kuhusu internet wakati kwa mara ya kwanza ilitumika kijeshi na wamarekani. Majanga haya!
Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
hivi wewe chicco vyombo vya habari kuacha kutangaza hili tukio wewe ndio umefurahi! So inamaana watu waendelee kuuwawa? Ninamashaka na wewe acha kuwa kunguru.
Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
Nyinyi wote unabishana upumbavu kwasababu maelezo yenu yanaonyesha wote nindugu hivi unafikiri watu watanga na wa mwambao wote mtawagawa kwamba hizo mile 10 ziwe ni sehemu ya Zanzibar, vipi kuhusu wale walio more than 10miles hawana haki ya kutumia bahari ile? Sijui ni lini binadamu watakuja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.