Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,852
Muhahahaha ahadi zote hizo wameahidiwa hawa Jamaa ni kweli wamepotoshwa isije kuwa wengi hawafahamu maana lugha hiyo ni balaa.... poleni sana Waislam... na uzuri wengi hushindwa kupinga haya yote so ni ukweli tupu wameahidiwa... kisiri siri hukaa pembeni na kusema koran imekosema sehemu nyingine ila hawawezi sema wazi wazi kwani wanaamini koran haijachakachuliwa... kahtaan Ritz faby gombesugu
Mkuu Mlaleo, nakuomba tuulinde huu Uzi uwe Na maisha marefu tuweze kujifunza mengi!
Last edited by a moderator: