Kumbuka LUCIFER ni kaka mkubwa kwetu sema yy alipewa mda wa kutubu akadharau mda ukaisha, kilichobaki ni zamu yako na mm kutubu ili tusamehewe dhambi zetu mda ukifika haujatubu au ukafa bila kutubu tutaungana wote na kaka yetu kwenye jehanamu ya milele
LUCIFER mkuu ni mzuri sana kimuonekano yaani ni hensamu boy ila wenzake ndo wanamuonekano wa ajabu ajabu mfano, ADONAIJA, anapembe yamechongoka kwa juu, hao wote ni malaika saba wakuu waliotupwa na LUCIFER,
Tatizo la warussia ni wabinafsi sana ndo maana hata kitu chao kinaonekana hakina ubora, mfano mzuri angalia kwa mtanzania mwenzetu dr shika alijitahidi sana kujiimalisha lakini wakamfanyia figisu eti ni FBI then akaacha kila kitu, hoja yako ni kwamba yeyote anayetumia vifaa au bidhaa za urusi...
Hakuna kitu hapo, mulianza kwa makeke laakini data siloo hadi kero, kumpata castoma care tu masaa kumi, kudownload vitu tu internet hakuna utadhani upo kuzimu, halotel mbona wameweza wakat nyie wa kitambo tangu nipo chekechea nawasikia
Hapo hamna ulinzi wowote mkuu ni geresha tu ili utishike bahati nzuri sana tanzania amani imetawala, ebu angalia marekani walivyo makini huwezi kuona rais ameambatana na jopo la wanaume wengi namna hiyo lakini ulinzi uliopo ni hatari yaani hujafikiria hata kumkamata umedakwa, wanatuekitia tu...
Mwanza maeneo ya kamanga fell, na yenyewe ipo kwenye maajabu ya dunia. Jiwe kutoborewa na vijiti kama mti hadi leo kivutiio
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa watu wanaboa sana, hata mm imenitokea nikaamua kuanza upya nikijiona mnyonge niliyesahaulika, kwa sasa sina yale makeke za zamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu sijakuelewa ulivyohitimisha kizembe wakati mjadara umeuanza sensitive? Nilitegemea utaelezea sababu zote lakini umeishia kuelezea sababu moja tu ukahitimisha na kwa masirahi binafsi kwa kutoa namba, kulikua na haja gani ya kuanza na mjadala si ungeanza na masilahi ndo unahitimisha na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.