Safi sana. Hutoi gari bandarini(TPA) mpaka umuone mzee TRA. Vinginevyo litaozea kule. The authority to control certain activity regarding specific issue (large scale) given by the Government (Power)
Hakuna Mkoa wenye watu jeuri na wabishi kama Kigoma. Akishakuambia "akayee magabo" jua imetoka. Hageuki nyuma.
Kulikuwa na jamaa mmoja alikuwa anaitwa "mzee wa mabanzi", sijui yuko wapi siku hizi. Kidogo aliwamudu.
Kinachofanya pesa zijae mitaani kikubwa ni Serikali kuibiwa kama ifuatavyo:
1. Manunuzi hewa. 2. Safari za kikazi hewa. 3. BoQs hewa. 4. Overtimes hewa. 5. Wafanyakazi hewa. 6. Upungufu wa vitu muhimu kama sukari, hewa nk
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.