Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,805
- 11,965
Mungu mkubwa, alikuwa ni jambazi sugu ambalo lilikuwa limeajiriwa na bank ya KCBL.Mh. Rais ,Takukuru huko Kilimanjaro imefanya kazi ya ziada,kumshika huyu mtuhumiwa, tunashauri wapatiwa Zawadi ili kuwapongeza au wapandishwe vyeo . Hongereni sana Takukuru huko Kilimanjaro.
Hawa Wahasibu wa kisasa naona imekuwa majanga. Wanaiba na kukimbia.
Alikuibia mkuu au ndio mambo ya majungu camp kama kawaidaMungu mkubwa, alikuwa ni jambazi sugu ambalo lilikuwa limeajiriwa na bank ya KCBL.Mh. Rais ,Takukuru huko Kilimanjaro imefanya kazi ya ziada,kumshika huyu mtuhumiwa, tunashauri wapatiwa Zawadi ili kuwapongeza au wapandishwe vyeo . Hongereni sana Takukuru huko Kilimanjaro.
Ombeni masaidi = Ole sabaya Lengai.Alikuibia mkuu au ndio mambo ya majungu camp kama kawaida
1. Elizabeth Makabe ...
Kukimbia kwenyewe hawajuiHawa Wahasibu wa kisasa naona imekuwa majanga. Wanaiba na kukimbia.
Ivi case ya yule mwendesha mashtaka mkuu wa mkoa wa manyara, Mr Mutalemwa kishenyi, ambae alikamatwa na Rushwa, iliishiaga wapi Hawa TAKUKURU Pascal Mayalla
Ooh man oh manOmbeni masaidi = Ole sabaya Lengai.
Anatoka Kilimanjaro,anajificha Dodoma,tena mjini .Kukimbia kwenyewe hawajui
Ova
Hii mijitu ujanja humu humu ku Cross bodaAnatoka Kilimanjaro,anajificha Dodoma,tena mjini .
Yaani kaamua kwenda kwa muroto badala hata ya holili au rongai😁😁