Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini, kupitia kwa Naibu Msajili wa Ofisi hiyo Sisty Nyahoza imetoa ufafanuzi kuhusiana na madai ya kwamba barua iliyoandikwa 'kutoka kwao' kwenda Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mei 26 mwaka huu inakiuka amri/ zuio la Mahakama lililotolewa hivi...
Serikali ya Cambodia imetoa tangazo linalowaagiza raia wote wa Afrika, wakiwemo kutoka Kenya, Ghana, Cameroon na Uganda kuondoka nchini humo kabla ya Mei 31, 2026, la sivyo watakamatwa na kushtakiwa kwa mujibu wa sheria za uhamiaji.
Katika taarifa rasmi iliyotolewa na Idara Kuu ya Uhamiaji...
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) imeiomba FIFA kurejesha pesa za tiketi za Kombe la Dunia la 2026 zilizonunuliwa na mashabiki ambao sasa hawawezi kusafiri kwenda Marekani kutokana na vikwazo vya usafiri vinavyohusiana na ugonjwa wa Ebola.
Ombi hili linakuja wakati taifa hilo la Afrika ya...
Mtu mmoja raia wa China aliyefahamika kwa jina la Baozhang Ge, Mkurugenzi wa kiwanda cha Xin Li Company Ltd kinachojihusisha na Urejeshaji wa Makopo, kilichopo Mabibo jijini Dar es Salaam amekutwa ameuawa na watu wanaodhaniwa kuwa ni walinzi wa Kampuni hiyo Morani wa Kimasai, kisha kutomekea...
Kwa mara ya kwanza timu ya Yanga imepoteza mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu wa 2025/26 mbele ya Dodoma Jiji kwenye Uwanja wa Airtel, Singida, leo Mei 13, 2026.
#########
Yanga yupo uwanjani tena kuzisaka alama 3 dhidi ya Dodoma Jiji. Je ni Dodoma Jiji au Yanga kuondoka na alama 3 ...
Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amekataa kujiuzulu baada ya Mahakama ya Katiba kuamua kuwa wabunge hawakupaswa kuzuia mchakato wa kumwondoa madarakani dhidi yake mwaka 2022.
Inasemekana kiasi cha dola 580,000 taslimu kiliibwa kutoka kwenye sofa katika nyumba yake ya mashambani mnamo mwaka...
Mpishi maarufu Dennis Ombachi kutoka Kenya amemkaribisha Rais Emmanuel Macron katika kipindi chake maarufu cha mapishi, wakichanganya utamaduni, vyakula na diplomasia kwa mtindo halisi wa Kenya 🍽️✨
Chakula kinaendelea kuwaunganisha watu.
Hali ya taharuki imeibuka katika eneo la Mbagala Zakhem Jijini Dar es salaam baada ya magari mawili aina ya Fuso kuteketezwa kwa moto huku milio ya risasi ikisikika kufuatia mgogoro unaodaiwa kuhusisha jengo la ghorofa Nane.
Tukio hilo lililosababisha hofu kubwa kwa Wakazi wa eneo hilo...
Ila huyu mwenyekiti kiboko! Yani hata mshipa wa aibu hana
=======
Mkazi wa Matiju B, Rashidi Bakari, ameeleza masikitiko yake baada ya kurejea kutoka kupanda Mlima Kilimanjaro na kukuta mke wake ameolewa na Mwenyekiti wa mtaa huo anayefahamika kwa jina la Isa, bila yeye kupewa taarifa yoyote...
Mbunge wa Viti Maalum (Vijana) Mhe Zainab Abdallah wakati akichangia hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu alitumia lugha ambayo liwaacha Wabunge njia panda na kuomba muongozo ili aeleza maana ya maneno yake.
Una maoni gani?
Mwimbaji na YouTuber wa Rwanda Aimable Karasira amefariki dunia wakati akiachiwa huru kutoka kizuizini mjini Kigali, Huduma ya Magereza ya Rwanda (RCS) imethibitisha.
Katika taarifa yake, RCS inasema Karasira alifariki katika Hospitali ya Nyarugenge baada ya kudaiwa kunywa dozi ya kupita kiasi...
Kutoka Kijiwe cha Ubungo, David Julius analalamikia wingi wa michango katika shule za serikali, hali inayosababisha ugumu wa Maisha na kutofautiana na uhalisia wa kipato cha Wananchi.
Viongozi wa vyama 13 vya upinzani nchini wamesisitiza msimamo wao wa kutokukubaliana na baadhi ya wananchi, wanasiasa, wadau wa masuala ya haki na wanaharakati nchini kutaka iundwe tume huru kutoka nje ya nchi kuchunguza matukio yaliyotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025...
Sugu amesema hakutaka Chalamila apande kwenye steji kwa sababu hakutaka mambo ya kisiasi yaendelee na ilikuwa ni show ya muziki tu!
Hii alichofanya Sugu ni kizuri sana maana Chalamila angeleta uchawa wake wa kishamba kwenye burudani ya Muziki
Lakini Sugu amefuraishwa kuwaona Viongozi wakuu wa...
Nendeni mkirudi nchi zenu, nyinyi watu wasiofaa!” Mwanaume mmoja wa Afrika Kusini amewashambulia kwa maneno wanafunzi wahamiaji pamoja na wazazi wao, huku vurugu zikizuka katika taasisi ya elimu katikati ya mashambulizi yanayoendelea ya chuki dhidi ya wageni nchini.
Soma Pia: Afrika Kusini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.