Recent content by mafwitanda

  1. M

    Mjue Mtoboaji macho, Salum Njwete (Scorpion) na watu wake

    Mbona issue ya walimu mbeya faster maamuzi VP huyu jamaa
  2. M

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    Aangalie walimu kwani ndo nguzo ya taifa
  3. M

    Josephine Mshumbushi: Ni mwaka mmoja nje ya nchi, Tunamshukuru Mungu kwa kila jambo

    Sawa Mhaya ubarikiwe kuwa nje ya nchi...Lisu yupo Ana yake pia...nikwambie kitu...punguza maneno...acha yaishe hivohivo.
  4. M

    Kenya: Taifa dhaifu linaloitamani Tanzania

    Nenda Saut univ. Uone wakenya walioajiriwa hapa na hawataki KBS kurudi kwao
  5. M

    UTAFITI: Wanawake wanapenda kuhudumiwa madaktari wanaume

    Shida ya wadada wanapenda kuguswaguswa na jinsia tofauti
  6. M

    Ni nini asili ya mwitiko wa "Naamu" na "Beee"?

    Kwa hiyo mwarabu hakuchukua watumwa hapa A.mash... Hadi Leo tembelea nyumba za Waarab wanawatumwa majumbani mwao ambao ni watz...tafakari maisha yao yalivo...
  7. M

    Rais mstaafu Kikwete apewe tuzo ya heshima

    Tulidaiwa trillion 40
  8. M

    Kupatwa kwa Jua: Sayansi imethibitisha Mungu hayupo

    Mwanafalsafa wa Ufaransa aliandika kitabu akakiita God is Dead. Baada ya miezi mitatu nae akafa...take care...
  9. M

    Nimemfungulia mke biashara, mama mkwe anataka aiache amfungulie biashara nyingine

    Mamamkwe Ana lengo baya... Ajabu ni kuwa Ana lengo la biashara hiyohiyo ya kwako kwa nini? Usikubali
  10. M

    Edo Kumwembe: Afrika ni bara la Kipumbavu zaidi kuliko Mabara mengine yote hapa Duniani

    Miongoni mwa mawazo mabaya ulimwenguni; ni kujikana mwenyewe. wakoloni walitumia mbinu ya superiority vz Inferiority complex... Hapa ni ushindi Mkubwa kwa wakoloni kwa mawazo finyu na mgando ya Eddo Kumwembe...hajitambui
  11. M

    TRA valuation system ya magari haiko fair

    Mie naona serikali ndo imetengeneza hayo Magari... Km mtengenezaji anauza 9mil we kodi 15 mil huu sio uzalendo. Pia its turning our people into poorness...
Back
Top Bottom