Kuitwa kwa Makonda kwa Kamati ya Maadili ya CCM ni "red flag". Itabidi asome alama za nyakati na atambue kwamba hizi si enzi za JPM ambapo alikuwa anaweza kufanya lolote( kama kuvamia kituo cha Clouds) au kutoa kaui tata (kama kuwataka wabunge wotw wa upinzani watoke mkoani kwake) bila hatua...
Nani anamtengeneza? Tangu tupate uhuru hakuna kiongozi yeyote wa ngazi ya juu kabisa ametengenezwa. Si Nyerere, si Mwinyi, si Mkapa, si Kikwete, si Magufuli wala si Samia. Viongozi wote huibuka. They emerge. Hawatengengenezwi. Fact.
Wakati mashindano ya AFCON yalipokuwa yanafanyika huko Ivory Coast, nilimsikia mmoja wa wanahabari aliyekuwa huko akituhabarisha kilichokuwa kinaendelea akisema boda boda wa huko wana nidhamu sana.
Wakifika kwenye taa za barabarani wanasimama mpaka pale taa ya kijani itakapowaruhusu kuendelea...
Hivi muda ambao Makonda alimpa Waziri Mkuu kumaliza tatizo la migogoro ya ardhi umewadia? Kama bado je kuna dalili za migogoto hiuo kwisha. Je muda ukifika na migogoro hiyo bado iko pale pale je Makonda anawezak kuchukua hatua dhidi ya Waziri Mkuu?
Wakuu nauliza muda ambao Katibu Mwenezi wa CCM, Paul Makonda ambazo alimpa Waziri Mkuu, Mh. Kassim Majaliwa kumaliza tatizo la migogoro ya ardhi unatazamiwa kuisha lini? Je tangu agizo hilo litolewe migogoro imepungua? Na je ikidhihirika kwamba tatizo la migogoro ya ardhi bado liko pale pale...
Kigogo amekwishaongea kuwa Karimjee hapatatosha kutokana na matukio ya vigogo 2, waandae uwanja wa Mkapa. Ukitaka taarifa mtafute Kigogo. Usisubiri serikali hii ya CCM.
Kama ningekuwa na nafasi ya kumshauri Mhe. Majaliwa. ningemwambia anyamaze kuhusu suala la kutoonekana Mhe. Makamu wa Rais. Watanzania bado hatujasahau jinsi alivyotudanganya suala la JPM - kwamba ni mzima na anachapa kazi! Tunatamani Mh Mpango awe ni mzima na anachapa kazi lakini Majaliwa...
Nimerudi juzi Jumapili kutoka Kigali, Rwanda ambako nilikwenda na wenzangu 3 kwa shughuli za biashara. Tulikwenda kwa usafiri wa gari binafsi. Tulikaa huko siku 3. Nilishuhudia kitu kimoja kuhusu traffic polisi wa huko, jambo ambalo lilinifanya nitafakari na kulinganisha na traffic polisi wa...
Mimi simwpmbei> sifirashishwi na jisi anavyoendesha shughuli za bunge hasa pale anapokuwa anaacha kiti chake cha uspika na kugeuka kuwa msemaji wa serikali. Ashindwe tu
Nyie Sukuma gang mbona mnaweweseka sana na Mbowe na mnamwach John Momose Cheyo ambaye amekuwa mwenyekiti wa UDP kwa muda mrefu zaidi ya ule ambao Mbowe amekuwa mwenyekti wa CHADEMA?
Wiki iliyopita nilitembelea jiji la Dar es Salaam baada ya kipindi cha takribani miaka 5.
Niliingia jijini usiku na nilishangaa maeneo ya katikati kabisa mwa jiji - Askari Monument, Mtaa wa Azikiwe na Samora hakuna taa za kuangaza mitaa. Mitaa hii maarufu ni giza.
Barabara zake zimechoka ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.