Wanauhakika gani kua amekufa ilhali hawajaona mwili wala mabaki ya mwili, yawezekana amefichwa sehemu na wasiojulikana wanamtatua rinda moja baada ya lingine
Ndugu wana jf kwa wachawi au mchawi yeyote anaesoma uzi huu, naomba anipe uhakika kwa hiki nilichokisikia Leo, ya kwamba " Nikiwasha taa usiku kucha, hakuna mwanga wala mchawi atakaeweza kuingia kwangu ispokua majini na majinamizi tu"
Ndugu jamaa na marafiki kwa wenye ufahamu juu ya jambo hili naombeni msaada.
Yapata takribani miezi miwili tangu hii hali kuanza kunitokea na ni kila nikilala haijalishi iwe usiku au mchana.
#ufafanuzi
Yaani kila nikilala pindi nistukapo toka usingizini najikuta nimelalia tumbo, cha ajabu...
Kuna ngoma moja ya hip hop beat lake tu ni sheeda sijui inaitwaje beat linavinanda ...tata Tara tata rara ra rirarira ri rara...
Nikumbushe jina niitafute YouTube
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.