Recent content by Mafia Democracy

  1. M

    JamiiForums Tanzania Pale unapokataliwa kazini nini cha kufanya ?

    Usiogope kumkunja au kumtukana boss pale anapovuka mstari. Wale ni watu kama mimi na wewe, boss akiwa anajua anaweza kukufanya lolote bila wewe kumdhuru hakuna rangi utaacha kuiona
  2. M

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    Season 4 imeachiwa leo ikiwa na episodes 3 zamoto. unaweza kupakua hapa https://ww1.ytstv.hair/watch-tv/
  3. M

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    Power Book III: Raising Kanan finally imeisha. Hii series ni hatari tupu
  4. M

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    Hii series ina drama sana. Hata kama hupendi football utai-enjoy tu
  5. M

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    Hii series ina drama sana. Hata kama hupendi football utai-enjoy tu
  6. M

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    Kuna timu ya mpira wa miguu inaajiri kocha kutoka Marekani ambaye hana uzoefu wa mpira wa miguu. So kunakua na drama na comedy nyingi sana. Ipo vizuri
  7. M

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    TED LASSO nzuri sana. Naipa 9/10
  8. M

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    Episode moja ila yamoto sana 🔥
  9. M

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    Hapo ndio utagundua kuna utofauti kati ya kuimba na kuigiza. Movie mbovu sana
  10. M

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini mrembo akishaondoka ndio unaanza kukumbuka style mpya kabambe😁

    Jitahidi upate sex mara kwa mara sio mara moja kwa wiki. Ukifanikiwa kwa hilo hutojilaumu kwa hili
  11. M

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    Hii series mbaya
  12. M

    JamiiForums Tanzania Serikali iruhusu video za uchi na ngono mitandaoni na vipindi vya luninga

    Kama sehemu za siri zinatumika kwenye tendo lolote lile, basi tendo hili pia linapaswa kufanyika kwa siri.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    Humu utamkuta Maya Miller yule FBI detective wa Ozark huku pia ni detective. Series kali sana
  14. M

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    Bado ina episodes mbili tu ila zote zamoto🔥
  15. M

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    Ndo naishi nayo muda huu. Yamoto sana
Back
Top Bottom