Recent content by Madu89

  1. M

    Historia ya jina la Mwigulu Nchemba

    Naipenda jamii forums
  2. M

    Job application hii imenichanganya sana naomba msaada

    Dah ni noma. Bac jamani fanyeni mumjibu jamaa swali lake hii haikuwa debate
  3. M

    unajua IQ ya mtu inatafutwaje?

    Deepness, speed and acuracy of thinking in relation tu ur age ndo vitu vinavyotumiwa kupima iq mkuu kiasi kuwa hata mtoto wa miaka 8 anaweza mshinda mtu wa 20 year. Kuna free test ya iq online unaweza jaribu.
  4. M

    Umuhimu wa kuanzisha chama cha ukombozi wa Mtanzania

    Jamaa yupo correct some how pia nasisitiza kuna jamaa alisisitiza kuwa wana jf tujitahidi kuwa open minded tusilalie upande mmoja sana kuwa tunasuport hoja kwa sababu zimebase katika chama tukipendacho hata kama hazina msingi au kucrush hoja za chama kingine hata kama ni za msingi. Wote tupo...
  5. M

    Zitto; jipange bado nafasi ipo.

    Hoja yako imesimama mkuu hatutakiwi kuwa na ubongo kama majahazi yanayosubiri upepo ndo yajue mwelekeo. Tufikirie jamani mwanamke asikugombanishe na wazazi
  6. M

    Majibu ya Zitto juu ya shutma za kuhujumu CHADEMA

    Hapa mimi kama kichwa kimejam hivi wakuu. Kina ben saa8 walitumika na zitto kumhujumu slaa ben saa8 akatumwa na slaa kumpa sumu zitto lakini zitto anasema hamjui ben hta kwa sura. Nani mbaya hapa?
  7. M

    Tundu Lissu: Hakuna atakayefanya kazi za CCM akajiita mwana CHADEMA tukamwacha

    Kweli jabulani, yanini kukaa na bomu ndani? We are for future ha2ishi kwa historia. Zitto aweke habari nzima mezani wadau wamuelewe otherwise aende ccm cz hatuna trust nae tena.
Back
Top Bottom