MaDish Installers
Tunafunga mifumo ya ulinzi kwa kutumia:-
CCTV cameras
Electric fence
Alarm system
Intercom
Na mengineyo na wakati huu tuna punguzo maalum kwenye kufunga Electric fence kwa Tsh 19,000/= kwa square meter 1, tunafanyakazi mikoa yote Tanzania.
Pia tunafunga mfumo wa TV...
Receipt nnayo Ila kama Sina maana imefutika kinachosomeka ni NMB wakala Tena ukiigeuza kwa nyuma ni TSH 120,000 hivyo naona kama nitafute kama kuna solution kabla ya kuamua kulipa tena..
Habari wadau!
Hivi ikitokea gari imeandikiwa then ukalipa kwa kutumia wakala wa bank, baadae kama miezi minne unakamatwa gari inadaiwa deni lile lile ni nini unapaswa kufanya?
Receipt ipo ila imefutika maandishi..
Ikiwa decoder yako inadai ku update nawe una cancel ni tatizo mpaka kutokea vile vitu vya kisasa kutokuwepo..
inapaswa uiscan upya decoder yako n zitaingia..
Vifurushi vilivyopo:
- Tsh 10,000 lite
- Tsh 18,000 pure
- Tsh 23,000 plus
- Tsh 28,000 play
Washa king'amuzi chako kisha ndipo ufanye malipo!
Ikiwa upo kifurushi kidogo hakijaisha mf: Tsh 10,000 na unataka kuongezea hela ili upate kifurushi kikubwa cha Tsh 18,000 LAZIMA iwe umelipia Tsh 10,000...
Kifurushi kikiisha TBC1 inabaki na ikitokea kwako inakata ni issue ya system kufail.. unachopaswa kufanya ni kupiga huduma kwa wateja wanaifungua dakika hiyo hiyo!
Mimi nipo kwenye ukanda wa ving'amuzi sio kama nadeal na azam tv tu nadeal na vyote ila kwenye ubora kwa experience yangu ni:-
1.DStv
2.Azam tv
3.Startimes
Wengine wanasindikiza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.