Recent content by madena

  1. M

    Top Ten Best Paying Banks in Terms of Salary by 2013 in Tanzania

    mecobank teller anapata milioni basic salary akikatwa anaondoka na laki saba....sales officer anapata basic 1.7m ambayo net ni 1.2m maybe kinachokwamisha tu hapa ni kuwa no other benefits kiivyo but salary ok. i meant ECOBANK
  2. M

    Top Ten Best Paying Banks in Terms of Salary by 2013 in Tanzania

    mecobank teller anapata milioni basic salary akikatwa anaondoka na laki saba....sales officer anapata basic 1.7m ambayo net ni 1.2m maybe kinachokwamisha tu hapa ni kuwa no other benefits kiivyo but salary ok.
  3. M

    Walioitwa Kwenye Interview Akiba Commercial Bank

    kuna mshkaji wangu aliaaply izo zaki alifanya interview written na leo ameitwa saa nane oral sa sijui ka ndo izo mnazotaka wadau
  4. M

    Rais Kikwete afanya Mabadiliko katika Baraza la Mawaziri - Jan 19, 2014

    kama raisi angekuwa anapewa kwa muonekano tu na hekima,basi huyu ombeni angefaa kuwa raisi........
  5. M

    Nusu fainali ya kombe la mapinduzi SIMBA vs URA

    jf kila kitu me ntwait matokeo hapa hapa...kila la kheri MNYAMA
  6. M

    Live Updates: Morocco Vs Tanzania leo, 8 June 2013 uwanja wa Stade de Marrakech

    huyu refa ameanza mambo yake ya mataifa ya afrika .....sijui anafikiria nini khaa
  7. M

    Kwa wale mliofanya Aptitude Test ya PSPF

    mkuu me sipingi unachosema but ni vizuri ukaheshimu mchango wangu pia coz mimi haya yamenikuta na nayaona kila siku sijasimuliwa.
  8. M

    Kwa wale mliofanya Aptitude Test ya PSPF

    hii habari ni kweli kabisa.pspf,ppf,nssf,lapf ni ngumu bila memo coz yametukuta
  9. M

    Simba v Ruvu Shooting - May 05, 2013

    safi sana mnyama kwa hali hii tarehe 18 ntakuja taifa kukushuhudia ukikata ngebe za ubingwa.safi
  10. M

    Mlipuko mkubwa watokea kwenye Kanisa Katoliki Arusha, watu kadhaa wajeruhiwa

    nninaiona sura ya raisi akitoa kauli....tena atatumia maneno yale yale 'watanzania tuwe watulivu na tuache vyombo vya dola vifanye kazi yake'kesho yake kimyaaaa lakini ndugu yangu aliyekuwa anasali leo yupo hospital anapigania uhai.....haya mambo ni kama mvua yalianza kama mawingu ina mana...
  11. M

    Utapeli wa chuo cha tumaini institute of management and education(time) kilichopo tegeta

    ichi chuo kipo jirani yangu hapa me mwenyewe mazingira yake tu nilishakistukia...em wakuu wanaohusika wafwatilie haya mambo
  12. M

    Nilichokishuhudia mume wangu akifanya siamini

    mwombe Mungu atakupa njia...kuwa mvumulivu piga maombi.
Back
Top Bottom