Gharama inategemea na size, ulitaka bwawa lenye mita za mraba ngapi Mkuu?
Ukitunza vizuri lina uwezo wa kudumu zaidi ya miaka 5, uimara unategemea na thinkness ya hiyo nylon, kuna 0.5mm, 1mm na 1.5mm
Bei yake ni Tsh 7,500/m²
Hapa unaweza kuweka samaki 100.
Kiasi/idadi ya samaki sio constant, idadi ya samaki inategemea vitu viwili ujazo wa maji na inategemea na uwezo wako wa kudhibiti ubora wa maji, hivi kwa pamoja ndio vita determine uweke idadi gani ya samaki
Sishauri sana matumizi ya tank, nashauri zaidi njia ya...
Gharama kwa system kama hii haipo constant inategemea na mazingia unapochukulia materials ila wastani ni Tsh 300,000 hadi 500,000. Hii inajumlisha gharama zote kuanzia tank, pvc pipe, filter n.k
Ni kawaida sana kuona watu wakifuga kuku, ng'ombe, mbuzi, nguruwe, n.k. Lakini ni nadra sana kuona watu wakifuga samaki licha ya kuwa mazingira yetu yanafaa sana kwa shughuli za ufugaji samaki kutokana na kuwepo kwa maeneo yenye maji ya kutosha na hali nzuri ya hewa. Baadhi ya mataifa kama China...
Mimi kitaaluma ni Bwana Samaki (aquaculturelist) natafuta kazi, kimsingi natoa huduma ya ushauri na usimamizi kwa watu wanaotaka kuwekeza kwenye biashara ya ufugaji wa samaki kisasa
....wakanipa elfu15 na card ambazo nilikuwa nimeshinda, nikaambiwa niendelee kucheza baada ya kuzifunua card nikakuta moja kati ya zile card nmejishindia generator, kimbembe kikaja kwenye kupewa ilo generator nikapewa option mbili niendenalo au niwauzie wanipe hela cash
Kutokana na changamoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.