asante mkuu kwa ushauri daah yaani namuona shetani huyu hapa before sijaacha ukamaria nilikuwa na weight ya 50kg
Immediately baada ya kuaacha sasa nina 75kg
huyu shetani nitamshinda tu
My last bet was 31-2021 mpaka leo sijawahi place bet tena lakini kuna the urge in me inaniambia nirudi tena kwa odds 2 niweke laki
wakuu niambieni si shetani huyu ?
Asante sana mkuu lakini nafikiri ishu si kuwa huna plans za kufanya ishu ni hiki kitu kwako ni uraibu kimeingiaje ni kitaweza kutoka. mkuu hapa ni wachache ambao tunakili na kukubali kwamba tunaili tatizo la uraibu wa kamari. kwa sasa siwezi nika stake pesa nyingi kama before lakini kurudia tu...
Kwanini HUU UKAMARIA UKIUANZA KUACHA NI KAZI SANA NILIJITAHADI KUACHA KWA MIEZI KAMA MI 4 HIVI MFULULIZO LAKINI JUZI NIMEANZA TENA AND I HATE IT SO MUCH
Sababu nimepoteza sana kuliko kupata yaani with in 5 Months nilipoteza more than 7 million
AMBAYE HAUJAANZA HUU MCHEZO BORA USIANZE KABISA.
maisha haya ni kusaidiana wakuu ukipata nafasi ya kusaidia ni vizuri kushare ni kucare nimeshea hii link hapo chini kwa ajili ya wazee wenzango wote wa kubet ambao kwa namna moja au nyingine betting imetufirisi kututesa na kutufanya tujikatae.
asikwambie mtu hii compulsive gambling ipo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.