kalisheshe
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 1,863
- 3,480
Habari zenu wakuu
Nikiwa chuo mwaka wa 3 nilipata msichana niliyekuwa nimemzidi mwaka mmoja wa masomo kwa kipindi hicho
Nilimpenda nikaamua kuanzisha nae mahusiano yaliyokuja kuzaa uchumba mpaka muda huu.
Tumedumu kwenye uchumba kwa miaka miwili Sasa.
Tatizo kubwa lililofanya nije hapa Ni kuwa
Mchumba wangu ana tatizo la kutokufika kileleni mapema tunapokua safarini
Naweza kutumia lisaa lizima Bila yeye kufika.
Nimetumia kila njia, mbinu zote mpaka ushauri wa madaktari ila hakuna mabadiriko yoyote.
Kuna muda huwa ananilaum kwa Nini simfikishi huku akiniambia hajawahi kufikishwa na mwanaume yoyote ( naifaham kidogo historia ya mahusiano yake).
Nampenda Sana mchumba wangu ila nikifikiria kuhusu faragha napata wasiwasi kuingia nae kwenye ndoa.
Wenye uzoefu na maswala ya ndoa mnishauri kijana wenu.
N:B hajapita kwa ngariba( clit ipo).
Nikiwa chuo mwaka wa 3 nilipata msichana niliyekuwa nimemzidi mwaka mmoja wa masomo kwa kipindi hicho
Nilimpenda nikaamua kuanzisha nae mahusiano yaliyokuja kuzaa uchumba mpaka muda huu.
Tumedumu kwenye uchumba kwa miaka miwili Sasa.
Tatizo kubwa lililofanya nije hapa Ni kuwa
Mchumba wangu ana tatizo la kutokufika kileleni mapema tunapokua safarini
Naweza kutumia lisaa lizima Bila yeye kufika.
Nimetumia kila njia, mbinu zote mpaka ushauri wa madaktari ila hakuna mabadiriko yoyote.
Kuna muda huwa ananilaum kwa Nini simfikishi huku akiniambia hajawahi kufikishwa na mwanaume yoyote ( naifaham kidogo historia ya mahusiano yake).
Nampenda Sana mchumba wangu ila nikifikiria kuhusu faragha napata wasiwasi kuingia nae kwenye ndoa.
Wenye uzoefu na maswala ya ndoa mnishauri kijana wenu.
N:B hajapita kwa ngariba( clit ipo).