Hi wana JF,
Nahitaji kufahamu masoko yenye bei nafuu ya nguo za ndani za kike na kiume na kama wana account mitandaoni niwasiliane nao
Naomba msaada tafadhali.
Habari wana Jf naomba kuuliza hivi kuna App ambayo naweza download nikaona mitihani iliyopita ya veta yaani mitihani ya CBA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wana JF mwenye uzoefu wowote juu ya uwakala wa tigo pesa, m-pesa, airtel money tufahamishane kuanzia mwanzo line unanunua kwa bei gani? Na kias gani unaanza nacho unachoanzishia biashara?
Ndg jamaa na marafiki ninaomba mwenye kujua mahala kariakoo wanapouza nguo (jeans za kiume na kike magauni ya kisasa) kwa bei nafuu aniambie kama pia naweza pata namba za simu itakuwa heri Zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.