madawi mart
Senior Member
- Nov 27, 2018
- 176
- 88
Ndg jamaa na marafiki ninaomba mwenye kujua mahala kariakoo wanapouza nguo (jeans za kiume na kike magauni ya kisasa) kwa bei nafuu aniambie kama pia naweza pata namba za simu itakuwa heri Zaidi.
Ni kweli lazma kuna vitu nijiridhishe kwa kweli.Kuwa makini San ,utarudi huku kuomba msaada na ushauri baada ya kupigwa pesa na biashara itaishia apo
Sawa kabisaNi kweli lazma kuna vitu nijiridhishe kwa kweli
kaka vipi ulifanikiwa@ Msenyele..... Kaka mi hata kuanzia biashara sijaanza na gather info kutoka kwa watu wenye ujuzi kidogo. Kwahiyo siwezi hata kuahidi mkopo Mzee. Ila ntakapokuwa tayari ntatoa taarifa hapa then tutaongea bei.
Kwa laki mbili unabata belo la kg 45 lenye nguo 85 mpaka 90 grade one pale Mnazi Mmoja.Jamani naomba mnisaidie ushauri wa namna bora ya kufanya biashara ya nguo za mitumba kwa mtaji wa kama laki mbili. Nafikiria kuifanya hii biashara Dar.
Kwa laki mbili unabata belo la kg 45 lenye nguo 85 mpaka 90 grade one pale mnazi mmoja