Recent content by MadattaP

  1. M

    Mwakyembe: Mahakama ya mafisadi kukosa kesi ni mafanikio makubwa

    Wamepeta hao ila wanafunzi wa toka miaka ya 90 hadi leo warudishe pesa za mikopo. Mafisadi waliokwapua pesa kipindi cha nyuma wanapeta tu.[emoji12] [emoji12] [emoji12]
  2. M

    Mwakyembe: Mahakama ya mafisadi kukosa kesi ni mafanikio makubwa

    Mkuu hata mimi nimeshindwa kuimalizia. Aibu kubwa aisee. Mbwembwe zote hizo za kuanzisha mahakama....
  3. M

    Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo anashikiliwa na Polisi, anyimwa dhamana

    Nafikiri wafunge tu social media zote kama ndio raha yao. Mbona simple tu? Kwamba kuanzia leo hakuna Facebook,Insta.tweeter na n.k
  4. M

    Bodi ya Mikopo(HESLB) waachia majina ya wadaiwa sugu kuanzia mwaka 1994 hadi 2014

    Mikopo ilikuwa inatolewa mpaka wanafunzi waandamane. Wao tuwalipe kirahisi rahisi tu
  5. M

    Raisi asifanye Mahojiano muda wa Kazi

    Kwa nini asingefanya mahojiano jioni? kuanzia saa mbili usiku ingefaa zaidi
  6. M

    Marais TAHLISO: Hakuna mwanafunzi kujaza fomu za uhakiki

    hahaaaahaa. Nimekumbuka enzi zileee za makunji ya kibabe.
  7. M

    MTV Mama Awards 2016: Watanzania waambulia patupu, Nigeria na South Africa wang'ara

    Tunzo moja inakwenda na thamani ya pesa kiasi gani? Mwenye kufahamu atujuze
  8. M

    Sikiliza kiingereza cha Harmonize tuzo za Afrima

    Wee Sio kweli. Kipindi manchester city amechukua ubingwa uingereza Aguero alihojiwa kwa kiingereza hakujibu chochote mpka akasaidiwa na Captain Company. So ni kawaida tu. Bado anaweza kujifunza akajua tu cha kunywea maji. Ni wengi tu wanaoweza kuelewa walichoulizwa halafu kukijibu kwa Kiingereza...
  9. M

    Ali Kiba amlalamikia Sallam SK kuwa anahusika na kuzimika kwa 'mic' Mombasa

    Huyu jamaa ni Maandazi kweli. Kwani back stage ilikuwa ya kwake peke yake? Mbona ile show ya Mombasa aliyovamia hakuzimiwa mic? Kule Nigeria kwenye tuzo za Africa Magic alipopafom na penyewe alizimiwa Mic? Kila siku tunaambiwa tutumie fursa zinazijitokeza mbele yetu. Kweli meneja anaejielewa...
  10. M

    Kama Msajili anamtambua Lipumba kama mwenyekiti wa CUF,Kwanini tovuti yake alimuweka Twaha Taslima

    Imebadilishwa tayari.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  11. M

    Magari Yasiyo Toyota

    Yap ni four wheel
Back
Top Bottom